thread ipo Malila anahusika zaidi hapa
Habari za jioni,
Nilikuwa naomba kwa mtu anaefahamu lolote kuhusu upandaji wa hii miti na ukuzaji wake kibiashara.
Au kama kuna thread yoyote ambayo ilishawahi kujadiliwa kuhusu hii miti naomba mnitumie.
Nimeshindwa kuisearch.
Nitashurkuru sana nikipata hii elimu.
Malila,naomba ufafanuzi wa kwanini MBUZI wasiwepo mahala panapolimwa mlonge?
Nalog off
Mbuzi wanakula jamii nyingi za majani, ikiwemo milonge. Mlonge, mwembe,mchongoma,mlingoti mwekundu,mianzi, inaliwa sana na Mbuzi. Nilijaribu, nikapata hasara taslimu, walikula miche ya embe za kisasa kama hawanijui vile, mlonge wanabandua hadi ngozi ya tawi/shina.
Naomba mbegu za mlonge. 1kg@6000/-
0716149003
Naitaji Mlonge kg 20000 ndani ya mwezi kila wiki nipate kg 2500
Call 0682426975/0654894210
Nb.naitaji sana kila kg ntanunua kwa 3000
Naitaji Mlonge kg 20000 ndani ya mwezi kila wiki nipate kg 2500
Call 0682426975/0654894210
Nb.naitaji sana kila kg ntanunua kwa 3000