Imagine aliwezaje, jaribu hilo halikumuacha Salama Mfalme DaudiYusufu pekee aliweza kuchomoka ktk dhambi hii,alikamatwa na mke wa waziri mkuu azini naye lakini alifanikiwa kukimbia na kumwachia vazi lake ambalo yule mama alimwonyesha mume wake eti yusufu alitaka kumbaka.tumheshimu mungu
ππππNi upendo wa Baba au Siyo?Unakataaje kuchakata mbususu,hyo ni kazi yetu
Wanaume huwa tuna huruma sana ndo maana huwa tunahakikisha kila mwanamke lazima aingie leba haijalishi ana mguu mmoja,mbilikimo,mwehu,chizi,tahira,kipofu,sura ng'omo
Lakini wao sasa ukikosa mguu mmoja tu kuwapata inakuwa shida
Unajidanganya Sana kudhani Kila mtu anavutiwa na Kila kituWanaume wenzangu, kwa nini ni ngumu Sana kuchomoa mtego wa mwanamke akikutaka kimapenzi?
Wanawake wakitongozwa wengi huweza kupangua mashambulizi tofauti kabisa na upande wa pili. Yaani mrembo akutake na akuwekee mtego Matata unachomokaje?
Ladies labda mtuuzie mbinu za kivita, Kama kuhonga tunajua hamuwezi, ni kwanini wanaume wengi hawatoki kwenye mtego?
Kuna watu watakuja kusema wana msimamo nami nitawaambia aidha Siyo pisi Kali au hajakutaka.Akikutaka huchomoki nakwambia
Uzi tayari
Kwamba ushawahi kuchomoa mtego? Tupe mbinu za kivita mkuuUnajidanganya Sana kudhani Kila mtu anavutiwa na Kila kitu
Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app