PAPAA JIWE
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 866
- 151
- Thread starter
- #81
Asante sana mkuu, nimekuelewa sana kwakweli.
Mpe onyo mbele ya mzazi.
Kwanza waambie aje na nguo za hishima, halafu hamisha darasa peleka
kwao. Kama ubao upo ukutani waamuru wauweke kwao pia tena sebuleni.
Badili saa za kutuit uziweke wakati hao wazazi wapo macho pia, ukiomba
kuwa nawe unahitaji saa za mapumziko. Koma tena ukomae kabisa,
kuchungulia kalivyo nona kwani kiti moto hicho?? Under 18 hata lingekuwa
kubwa kuliko mamake ni dhambi tu na sirikali haikusamehi. Usipeleke
hata kidole kugusa hicho chumba cha siri. Usikubali hata kukachungulia
kakienda kuchojoo.
Acha ujinga kijana, rika lako mbona wamejaa? Tena tafuta hata wa kulipa
awe akija kukaa na weye na kuonesha mna mapenzi saana. Katashika adabu
na kukukinai. Usipime sumu ya panya kwa ulimi