Mitego ya mtoto wa kitajiri

Mitego ya mtoto wa kitajiri

Muwe na malezi mazuri ss co kuachiaachia watoto wenu ovyo zen mnazuia tatizo kwa hivi

mtoto akishatoka tumboni ni wa kila mtu,sawa wazazi wake wanajukumu la kumlea katikati maadili mema lakini na jamii kwa ujumla mnatakiwa kuwaelekeza watoto kwenye njia njema sio kwa sababu si mtoto wako ni mtoto wa mwingine basi u take an advantage of her na kutembea nae
 
Huyu mtoto nyumbani kwao na kwetu ni jirani kabisa, yaani ukitoka kwetu unaingia kwao. na tumekuwa majirani tangu mwaka 2003 akiwa anajifunza kuongea hadi leo hii akiwa ananitega.

Hiyo sio point mkuu.. Hayo si kama ya Lulu na Kanumba. Hapo ni mwendo wa penetration tuu.
 
mkuu kabla ya kufanya chochote kapitie vifungu vya sheria vinasemaje!

umesema sasa upo na 25, nasikitika utaishia gerezan! kwa umri wako ndoto zako nyingi za maisha nadhan hujatimiza! fanya kazi yako kwa uadilifu!

USHAURI.
ikiwezekana badili mazingira ya kumfundishia! wewe uwe unaenda kwao, hapa mitego itapungua! pia kama inawezekana badili na muda pia.(21;00-00.00) sio mda mzuri sana!
jitahid mazingira unayomfundishia yawe ya wazi mfano seblen na sio chumbani, ..!
kila la kheri
 
mtoto akishatoka tumboni ni wa kila mtu,sawa wazazi wake wanajukumu la kumlea katikati maadili mema lakini na jamii kwa ujumla mnatakiwa kuwaelekeza watoto kwenye njia njema sio kwa sababu si mtoto wako ni mtoto wa mwingine basi u take an advantage of her na kutembea nae


Mnashindwa malezi mnakimbilia kulialia humu,,,

Tulieni mlelewe sasa,,,
 
Back
Top Bottom