Hiki kijarida nimeacha kukisoma muda mrefu,Ni sawa na kusoma udaku udaku tuMitandao ya wanaotamani kuwa viongozi wa juu wa Tanzania , hasa nafasi ya Urais imeanza kuundwa.
Wanaotajwa kuundwa kwa mitandao hiyo ni baadhi ya mawaziri waandamizi wa serikali ya Rais John Magufuli na wale walioshindwa kupata uteuzi katika serikali hiyo mpya.
Hatua ya Mawaziri hao inaakisi mienendo aliyopitia Dk Kikwete kabla ya kuwa kiongozi mkuu wa Tanzania.
Dr Kikwete aliwahi kukiri kuwa alitumia muda mrefu kuhakikisha anaweka mikakati na kuwa na mtandao ambao ulimuweka ikulu .
" Kura zangu hazikutosha mwaka ule , lakini sikulala , nilianza kupambana siku ile ile na baada ya miaka 10 , hatimaye kura zikatosha .
Chanzo - MwanaHalisi .
Swali - Mitandao hii ni kwa ajili ya 2020 au 2025 ?
At least you're coming back to your senses, this stupidity of criticising without fundamental evidence is derailing the work of this government.Kuna haja ya wananchi kuyasusia baadhi ya magazeti........
Ya kiuni yanayoandika upumbavu kama huu..............
Watu wanapoteza muda kusoma magazeti ya kiuni kama haya halafu wengine tukisusia na kuanza kusoma Magazeti ya Daily mail,The Sun,The guardian mnasema tumekosa uzalendo...........
Uchaguzi umeisha juzi Sasa hivi eti mitandao? How comes upuuzi mtupu.........
2020 wasahau na wataisoma namba labda 2025,Kwa kweli kwa jinsi hali ilivyo, wacha mitandao ianze mapema ili 2020 pachimbike tu.
Wasubiri 2025 huyu wa sasa Anatitosha kabisa,, hata wakisema hakuna haja ya kupoteza fedha za uchaguzi tuendelee naye huyu huyu wa sasa hadi 2025 ni safi tu.Kwa kweli kwa jinsi hali ilivyo, wacha mitandao ianze mapema ili 2020 pachimbike tu.
Jirani yako akikuambia kuwa mkeo anazini, kisha wewe ukapanic na kuanza kumzodoa huyo jirani yako, je, huyo jirani yako akikuomba msamaha mkeo atakuwa hajazini? Hebu tuonyeshe uongo wa Mwanahalisi pale ambapo kuna tuhuma za ufisadi katika Shirika la Elimu Kibaha, ambalo liko chini ya Tamisemi ambayo iko Ofisi ya Rais! Jiongeze...Kumbuka MwanaHalisi leo hii wameomba radhi kwa kuandika uongo.
Sina cha kukulipa mkuu .Jirani yako akikuambia kuwa mkeo anazini, kisha wewe ukapanic na kuanza kumzodoa huyo jirani yako, je, huyo jirani yako akikuomba msamaha mkeo atakuwa hajazini? Hebu tuonyeshe uongo wa Mwanahalisi pale ambapo kuna tuhuma za ufisadi katika Shirika la Elimu Kibaha, ambalo liko chini ya Tamisemi ambayo iko Ofisi ya Rais! Jiongeze...
Unalinganisha mlima na kichuguuJirani yako akikuambia kuwa mkeo anazini, kisha wewe ukapanic na kuanza kumzodoa huyo jirani yako, je, huyo jirani yako akikuomba msamaha mkeo atakuwa hajazini? Hebu tuonyeshe uongo wa Mwanahalisi pale ambapo kuna tuhuma za ufisadi katika Shirika la Elimu Kibaha, ambalo liko chini ya Tamisemi ambayo iko Ofisi ya Rais! Jiongeze...
Kama walichoandika ni sahihi wasingeomba radhiSina cha kukulipa mkuu .
Think and think and think...and think!
Nimeambiwa Radhi imeombwa kwa kutumia picha ya mkuu ukurasa wa kwanza , lakini habari ile na zingine ndani yake ni sahihi kuliko ukweli wenyewe .Kama walichoandika ni sahihi wasingeomba radhi
Mkuu Mwagona , habari za Ileje , hivi bado mnaendelea kutibiwa Malawi baada ya hospitali zenu kukosa ubora ?Magazeti na poropo ganda zao
CCM hatuna mitandao,wenye mitandao walihama nayo.Mitandao ya wanaotamani kuwa viongozi wa juu wa Tanzania , hasa nafasi ya Urais imeanza kuundwa.
Wanaotajwa kuundwa kwa mitandao hiyo ni baadhi ya mawaziri waandamizi wa serikali ya Rais John Magufuli na wale walioshindwa kupata uteuzi katika serikali hiyo mpya.
Hatua ya Mawaziri hao inaakisi mienendo aliyopitia Dk Kikwete kabla ya kuwa kiongozi mkuu wa Tanzania.
Dr Kikwete aliwahi kukiri kuwa alitumia muda mrefu kuhakikisha anaweka mikakati na kuwa na mtandao ambao ulimuweka ikulu .
" Kura zangu hazikutosha mwaka ule , lakini sikulala , nilianza kupambana siku ile ile na baada ya miaka 10 , hatimaye kura zikatosha .
Chanzo - MwanaHalisi .
Swali - Mitandao hii ni kwa ajili ya 2020 au 2025 ?
Kikwete naye kahama ?CCM hatuna mitandao,wenye mitandao walihama nayo.
Kumbe chanzo ni gazeti la kufungia utumbo,hakuna kitu hapoMitandao ya wanaotamani kuwa viongozi wa juu wa Tanzania , hasa nafasi ya Urais imeanza kuundwa.
Wanaotajwa kuundwa kwa mitandao hiyo ni baadhi ya mawaziri waandamizi wa serikali ya Rais John Magufuli na wale walioshindwa kupata uteuzi katika serikali hiyo mpya.
Hatua ya Mawaziri hao inaakisi mienendo aliyopitia Dk Kikwete kabla ya kuwa kiongozi mkuu wa Tanzania.
Dr Kikwete aliwahi kukiri kuwa alitumia muda mrefu kuhakikisha anaweka mikakati na kuwa na mtandao ambao ulimuweka ikulu .
" Kura zangu hazikutosha mwaka ule , lakini sikulala , nilianza kupambana siku ile ile na baada ya miaka 10 , hatimaye kura zikatosha .
Chanzo - MwanaHalisi .
Swali - Mitandao hii ni kwa ajili ya 2020 au 2025 ?