Mitandao mingine ya simu kama imerogwa

Mitandao mingine ya simu kama imerogwa

Morgan Fisherman

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2017
Posts
1,894
Reaction score
2,228
habarini

kuna mitandao mingine mingine ya simu ipo kama imerogwa na ni matapeli wa kutupwa..unakuta unazima data unazima kila kitu halafu unaweka vocha unakuta wamekula 40 au 50 ukiwapigia wanakwambia eti uilku hujazim data

hawa wanahitaj kucharazwa viboko hii tabia iishe.
 
Vodacom Ni Shida Sana Mimi Nikiweka Kiasi Chochote Lazima 30 Wakate Ukiwapigia Unaambiwa Umewasha Data
Wizi Mtupu
 
kama VIP tuwakomesheni tusinunue vocha zao mpaka wajirekebishe
 
Voda jamani hadi nilihama bora mtandao pendwa
 
Nimesahau kuweka vocha za kukwangua VODACOM nanunua kifurushi kwa mpesa
 
Vodacom
Nenda Kwenye Eneo La Kuandika Ujumbe
Andika ONDOA Kwenda Number 15369
 
Kwahiyo tunaamuaje kuhusu mitandao wezi??
 
Mitandao Inatumaliza Huduma Kwa Mteja Ukiwapigia Hawana Majibu Pia Wanachokujibu Hawana Uhakika Nacho
Hasa Vodacom Wamenipa Number Kumbe Wamenidanganya
Huu Wizi Mkubwa Sana
 
Back
Top Bottom