nimerekebisha hvu
kwa kuwa tenesco illingia mkataba na kampuni ambayo haikuwepo kisheria, na kwa kuwa kampuni hiyo hewa imeendelea kulipwa mabilioni, na kwa kuwa sasa serikali imegundua hilo, na ikasisitsha mkataba huo. kwa kuwa kuna wanaotaka hatua kali zichukuliwe ikiwa ni pamoja na kuwashinikiza kampuni hiyo hewa irudishe hyo mabilioni
sasa, ni vema mitambo iliyoletwa na dowans mmiliki wakampuni hiyo hewa ikazuiwa na kutaifishwa ILI RICHMOND ATOKEZE TUWEZE KUMDAI