Mitambo ya Marekani ya kujilinda dhidi ya mashambulizi ya anga ni ya hovyo

Mkuu tuwe wakweli..Mimi katika kuiguatilia hiyo patriot nikagundua kuwa kwanza si mzuri katika kutungua drone na pia imekuwa outdated kwa namna Fulani.
Paula Paul,
Unaposema Patriot Missiles hazikufail ila ni kutokana tu na kuwa the direction from which the attack came was different unakosea. Sababu gani, Patriot Missiles depend on radar, unlike Stringer or Sidewinder.

So unamaanisha radar hiyo ilikuw programmed ku detect missiles from South and South West only?

Katika missile defense systems, au tuseme air defense system yoyote kweli unaweza ku expect enemy hata attack kutoka upande fulani? Always kutegemea kupigwa kutoka upande wowote ndio kitu kinafahamika. Sasa ku fail kwa Patriot kwanini unasingizia mambo ya upande shambulizi lilipotokea wakati mtambo unatumia radar?

Alafu pia labda inawezekana labda ni mfumo wa kizamani sana maana since Gulf War technology ime advance sana, labda missiles za Iran zilikuwa undetectible!

In short Patriot ili fail, no excuses. Ila si mnasema US ndio mna modern and beautiful equipment? Vipi mnashindwa kuwalinda allies wenu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa hatuzungumzii vita, tunajadili kuhusu mfumo bora wa kuzuwia shambulio la anga na makombora.
Tunajadili kuhusu ubora wa US's Patriot Vs Russian S-400.

Kwa kuongezea tujadili kwanini Marekani anapambana kuzuwia nchi nyingine zisinunue huo mfumo wa S-400 wa Urusi?
Mfano kawatishia vikwazo Uturuki na India wasinunue huo mfumo.
Mkuu S-400 ni bora kuliko Patriot..
Mimi katika kufuatilia nimegundua kuwa katika mambo ya Air defense (hasa dhidi ya ndege,drone nk ukitoka ballistic missile) Russia yupo vizuri kuliko US..na hii ni kutokana military doctrine ya US ni offensive zaidi kuliko defense.. Unlike Rusia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tuwe wakweli..Mimi katika kuiguatilia hiyo patriot nikagundua kuwa kwanza si mzuri katika kutungua drone na pia imekuwa outdated kwa namna Fulani.

Sent using Jamii Forums mobile app
US as a superpower nadhani sio nchi ya kuwa na mfumo wa kujikinga na missile ambao upo outdated. Ninavyojua mimi ni kuwa hiyo mifumo huwa inakuwa updated kila mara kutokana na mabadiliko ya technology.

Au basi US kampiga changa la macho jamaa yake Saudi?
 
Mkuu ni kweli Patriot ni somehow outdated kuliko S-400 za Russia..
Ila sidhani kama Kuna patriot missile system katika kambi hizo za Iraq(sina uhakika sana)..katika kutafuta nimeona kuwa ni hakuna patriot missile system in Iraq
Mkuu umeenda mbele mno, nimeleta hili tukio la Saudia la 2019 ili watu watetee udhaifu wa Patriot kisha nije niwape hili swali lako:
Na shambulio la 2020 dhidi ya American Military Base zilizopo nchini Iraq walishindwaje kuzuwia makombora ya Iran tena taarifa ya kushambuliwa walikuwa nayo kabla, muda wakutosha ku-activate mitambo ulikuwepo?"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inasemekana hizi bases hazikuwa na ant missile system,wanasema hizi system wameweka sehemu nyeti zaidi kama power stations na base nyingine za kimkakati, ilikuwa hivi kwa sababu hadi hivi karibuni risk Iraq ilikuwa ndogo mpaka hapa karibuni hali ilivyoharibika, hii inawezekana kweli mimi binafsi sijaikubali hii sababu
Hata Mimi nimesema hivyo..hakuna Patriot missile system in Iraq

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni kweli Patriot ni somehow outdated kuliko S-400 za Russia..
Ila sidhani kama Kuna patriot missile system katika kambi hizo za Iraq(sina uhakika sana)..katika kutafuta nimeona kuwa ni hakuna patriot missile system in Iraq

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sio lazima ufungwe kwenye ardhi ya Iraq, unaweza kuwepo kwenye ile mimeli yao mikubwa ya kivita iliyopo kwenye ghuba ya Uajemi.
Au ikawepo nchi jirani na bado ikaona makombora toka Iran ikapima uelekeo na kuyatungua.
 
Tatizo la US Navibaraka Wake Hua Wanapenda Sana Kuficha Aibu Zao

Zile Kambi Zilikua Namifumo Yakuzuia Makombora Ila Zilichuja Makombora YakapitaUnahisi Kama Kweli Walikua Nahabari Za Kuja Kwamakombora Tech sasa hv imekua sana kuna makombora yanaweza kuufanya mlima ukawa tambarare na kuna makombora yanaweza pia kufukua mashimo kwaustadi wahali yajuu kabisa

Au unahisi jamaa walijua mpaka aina yamakombora yanayokuja na wakajua na athari zake zitakuwaje kiasi kwamba hawatadhurika wakiwa mafichoni ?!

Katika uwongo mkubwa kabisa ambao media zinatudanganya na sitaki kuziamini nikusema kwamba majamaa walijificha katika hio kambi na bado hawakufa hapa media wanatuona hatuna akili

Kama kuna makombora yakipigwa barabara inakua namashimo makubwa seuze handaki kuchibuka na wajeshi kufukiwa na vifusi


US Wanajaribu kuficha aibu zao nakuidanganya DUNIA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hazina mifumo ya kutungua makombora Ya Patriot wala THAAD..nimefuatilia nimeona hivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
US as a superpower nadhani sio nchi ya kuwa na mfumo wa kujikinga na missile ambao upo outdated. Ninavyojua mimi ni kuwa hiyo mifumo huwa inakuwa updated kila mara kutokana na mabadiliko ya technology.

Au basi US kampiga changa la macho jamaa yake Saudi?
Ni kweli mkuu ..nimeisoma patriot nikaona hivyo..na pia imafanyiwa update za kutosha..hivyo wanahitaji mfumo mpya wa Aina hiyo..tatizo pia marekani amewekeza zaidi siraha za kushambulia kuliko kulinda..yeye anaamini ulinzi mzuri ni kuwa na uwezo wa kushambulia..see US military doctrine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The problem with Americans ni kuwa they never admit kuwa wana shortcomings. Pompeo lazima afate maelekezo ya mwenye nyumba ambae ana ego kubwa kiasi kwamba wapo tayari kudanganya dunia ili tu ku save face.

US is known through history kwa kujimwambafy while in reality sivyo walivyo. They lie a lot, ni propaganda tu. A radar is expected to detect an incoming missile bila kujali ni direction gani hiyo missile inatokea.


Asante kwa hii link, nimeifungua nimeona ina mambo mazuri. Sasa ngoja niipitie nisome vizuri nije tuendelee.
 
Kwa hakika ikitokea vita kamili kati ya USA na Irani, USA atashinda vita lakini sio kirahisi sana.
Ushindi uta ambatana na hasara kubwa kwa mshindi..
Hilo halina ubishi mkuu.
Anashindaje hata anti-ballistic Missile shida? Vita ikitokea hakuna mshindi bali wanaweza toka sare, kumbuka Russia iliyokuwa USSR, USA, Saudia and other Arab Countries almost more than 10 countries wali msupport Iraq aipige Iran, walishindwa kuipiga Iran, from 1980-1988, Vita ilidumu for 8 years, can u explain it?

Iran wanajua uwezo wa kijeshi wa USA, wanakutaarifu tunakupiga na unapigwa kweli, wanajua hana uwezo wa kujikinga. Ni aibu kwa USA.

Hivi jifikirie ni taifa gani linaweza hivyo? kuwa kiburi kwa USA, USA huwa hacheleweshi mnyonge hata siku moja.
 
Mifumo takribani yote ya ulinzi wa anga ina madhaifu fulani fulani ya kiutendaji kazi na hakuna mfumo ambao umekamilika kwa asilimia 100.

Kwa case ya Saudi Arabia, kijiografia pamoja na aina ya shambulizi lililofanyika linazipa ugumu missile defense systems ku engage targets hususani ambazo ni low-flying kama hizo drones zilizotumika.

Mfumo wa Patriot umewezeshwa zaidi kuweza kuzisoma high-flying targets above the horizon ambapo ndipo missiles hupitia.

Hivyo shida si kuzipiga ama kuzitungua hizo drones bali shida ipo kwenye ku detect hizo targets.

Same applies to S-300 na S-400 za Urusi nchini Syria. Sote ni mashahidi wa kile kinachoendelea kule ingawa baadhi ya mashambulizi hukabiliwa lakini bado mashambulizi mengi yamefanikiwa na kuleta madhara yaliyokusudiwa na aliyefanya mashambulizi hayo.

Kwa case ya Iraq, hakuna taarifa zinazotuhakikishia kuwa kulikuwa na mifumo yeyote ile ya ulinzi wa anga achilia mbali huo mfumo wa Patriot.

====

All in all hakuna kinachoshindikana. Hilo linashughulikiwa.

Kuna mifumo mipya na uboreshaji wa kisasa zaidi wa mifumo iliyopo kama vile LTAMDS yaani 'Lower Tier Air and Missile Defense Sensor' kwa ajili ya ku engage hizo low-flying targets kwa ufanisi zaidi kuliko awali.

Hilo tayari linafanyiwa kazi na kampuni ya Raytheon ili kuuboresha zaidi mfumo wa radar wa Patriot;

Pia bado kuna altenatives nyinginezo na pengine zenye urahisi na ufanisi zaidi ili kukabiliana na aina kama hizi za mashambulizi yanayoendelea kutokea mara kwa mara katika ukanda wa Mashariki ya Kati;
 
Yeah,
Paula Paul yupo vizuri kwenye sekta mbalimbali, msomaji mzuri kama mdada mmoja anaitwa SweetieLee japo huyo hapendi mavita vita na siasa.
Yupo mwingine Victoire nae yupo vizuri na haya madudu yaonekana msomaji na mfuatiliaji mzuri hadi siasa.

Big-up kwao.
Sahivi mwanamke ninayemuona genius JF ni Paula Paul, ujue anajenga hoja mpaka unatambua imetolewa na mtu mwenye akili. Muhimu zaidi haongei tetesi wala ushabiki, mara nyingi anatumia facts. Kuna niliyemwamini nikapunguza imani naye siku ile Jiwe alipopotea, mzushi namba moja aliyekuwa anatoa na ushaidi wa uongo ni yeye.
 
Back
Top Bottom