STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,566
Kwaiyo haya mavitu ni sawa na Dish za vingamuzi ukiligeuza kidogo linapoteza signal!!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo haya mavitu ni sawa na Dish za vingamuzi ukiligeuza kidogo linapoteza signal!!!?
Kwann usinyamaze tu naona unaongea ushubwada mpaka unawaharibia wa USAOP Usisahau kwamba Patroit missiles ilifanya vizuri sana kipindi cha Gulf War 30 years ago. Iliweza ku shut down SCUD missiles.
Okay tuseme ni kweli ilitokea ikafeli haidhibitishi kwamba ilikuwa ni feki coz every piece of equipment can fail, no matter how advanced it is.
Tuje kwenye hoja yao sasa, maelezo yao yalikuwa kwamba hazikufeli but attack came from another direction. Haikuwa originated from the south or south-west and instead were launched from north or North west.
Je ni uongo na US walifanya kusudi ili vita itokee?
Je haikuwa kusudi bali ni kweli "ilifeli" na blah blah zote ni kuaminisha dunia kwamba haziku-fail? Kwa sababu kama zilifeli it wouldn't be good for US?
US bado wapo vizuri OP , wanayo atleast 3 missile systems ambazo zina uwezo wa ku-shoot down an ICBM. Anayo THAAD System, SM-3 Missile na Patroit Missile System. Ila Kutegemea kitu kufanya vizuri siku zote ni 10000% unrealistic.
Cc. chaliifrancisco
Mmmhh! Ili wasiojulikana waje faster?Ipo maeneo gani..?
Kwa mfumo huo wa patriotic bora ule wa IRAN Wa BAVARMifumo takribani yote ya ulinzi wa anga ina madhaifu fulani fulani ya kiutendaji kazi na hakuna mfumo ambao umekamilika kwa asilimia 100.
Kwa case ya Saudi Arabia, kijiografia pamoja na aina ya shambulizi lililofanyika linazipa ugumu missile defense systems ku engage targets hususani ambazo ni low-flying kama hizo drones zilizotumika.
Mfumo wa Patriot umewezeshwa zaidi kuweza kuzisoma high-flying targets above the horizon ambapo ndipo missiles hupitia.
Hivyo shida si kuzipiga ama kuzitungua hizo drones bali shida ipo kwenye ku detect hizo targets.
Same applies to S-300 na S-400 za Urusi nchini Syria. Sote ni mashahidi wa kile kinachoendelea kule ingawa baadhi ya mashambulizi hukabiliwa lakini bado mashambulizi mengi yamefanikiwa na kuleta madhara yaliyokusudiwa na aliyefanya mashambulizi hayo.
Kwa case ya Iraq, hakuna taarifa zinazotuhakikishia kuwa kulikuwa na mifumo yeyote ile ya ulinzi wa anga achilia mbali huo mfumo wa Patriot.
====
All in all hakuna kinachoshindikana. Hilo linashughulikiwa.
Kuna mifumo mipya na uboreshaji wa kisasa zaidi wa mifumo iliyopo kama vile LTAMDS yaani 'Lower Tier Air and Missile Defense Sensor' kwa ajili ya ku engage hizo low-flying targets kwa ufanisi zaidi kuliko awali.
Hilo tayari linafanyiwa kazi na kampuni ya Raytheon ili kuuboresha zaidi mfumo wa radar wa Patriot;
U.S. Army Selects Raytheon for Lower Tier Air and Missile Defense Sensor
/PRNewswire/ -- Raytheon Company (NYSE: RTN) has been selected to provide the US Army with their next generation, 360-degree capable radar - the Lower Tier Air...www.prnewswire.comRaytheon receives $384m US Army LTAMDS radar contract
Raytheon has secured a contract worth over $384m from the US Army to provide the next-generation Lower Tier Air and Missile Defense Sensor (LTAMDS).www.army-technology.com
Pia bado kuna altenatives nyinginezo na pengine zenye urahisi na ufanisi zaidi ili kukabiliana na aina kama hizi za mashambulizi yanayoendelea kutokea mara kwa mara katika ukanda wa Mashariki ya Kati;
Mfumo wa Iron Dome wa Israeli kuukata 'mzizi wa fitina' Saudia?
Habari! Baada ya matukio mbalimbali ya mashambulizi ambayo yamekuwa yakiiathiri Saudi Arabia ikiwemo miundombinu za mafuta, kumekuwa na mpango mahususi wa kupandikiza mfumo wa ulinzi wa anga hususani dhidi ya makombora ya masafa mafupi na ndege zisizo na rubani, mfumo wa Iron Dome unaozalishwa...www.jamiiforums.com
Kwani hizo kambi zilizolengwa na makombora ya Iran zilikuwa na hiyo mitambo?Makombora yalirushwa toka Iran moja kwa moja yakafika kwenye target bila kuonekana kwenye mitambo, hakukuwa hata na chembe ya kujaribu kuzuiwa shambulio kama ambavyo S-300 ya Syria ilivyoona makombora ya Israel ikafanikiwa kuya angamiza.
Marekani ni baba wa propaganda
Tuonyeshe evidence ,Kambi mbili za jeshi la US zimedunguliwa na waajemi na kusababisha vifo vya wanajeshi 80. Mbwa hao wanaficha ukweli
So what makes you think it's okay to talk to someone like that?Kwann usinyamaze tu naona unaongea ushubwada mpaka unawaharibia wa USA
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahivi mwanamke ninayemuona genius JF ni Paula Paul,
As long as its human made, Lakini huo wa USA ni zaidi, usiseme tu mifumo ina mapungufu jua kuna yenye mapungufu zaidi na hio si mingine ni hio mifumo ya USA, tulikuwa tunapiga kelele sana humu JF kuhusiana na mifumo ya ulinzi ya ki-soviet vs USA , finally tumepata jibu.Mifumo takribani yote ya ulinzi wa anga ina madhaifu fulani fulani ya kiutendaji kazi na hakuna mfumo ambao umekamilika kwa asilimia 100.
Kwa case ya Saudi Arabia, kijiografia pamoja na aina ya shambulizi lililofanyika linazipa ugumu missile defense systems ku engage targets hususani ambazo ni low-flying kama hizo drones zilizotumika.
Mfumo wa Patriot umewezeshwa zaidi kuweza kuzisoma high-flying targets above the horizon ambapo ndipo missiles hupitia.
Hivyo shida si kuzipiga ama kuzitungua hizo drones bali shida ipo kwenye ku detect hizo targets.
Same applies to S-300 na S-400 za Urusi nchini Syria. Sote ni mashahidi wa kile kinachoendelea kule ingawa baadhi ya mashambulizi hukabiliwa lakini bado mashambulizi mengi yamefanikiwa na kuleta madhara yaliyokusudiwa na aliyefanya mashambulizi hayo.
Kwa case ya Iraq, hakuna taarifa zinazotuhakikishia kuwa kulikuwa na mifumo yeyote ile ya ulinzi wa anga achilia mbali huo mfumo wa Patriot.
====
All in all hakuna kinachoshindikana. Hilo linashughulikiwa.
Kuna mifumo mipya na uboreshaji wa kisasa zaidi wa mifumo iliyopo kama vile LTAMDS yaani 'Lower Tier Air and Missile Defense Sensor' kwa ajili ya ku engage hizo low-flying targets kwa ufanisi zaidi kuliko awali.
Hilo tayari linafanyiwa kazi na kampuni ya Raytheon ili kuuboresha zaidi mfumo wa radar wa Patriot;
U.S. Army Selects Raytheon for Lower Tier Air and Missile Defense Sensor
/PRNewswire/ -- Raytheon Company (NYSE: RTN) has been selected to provide the US Army with their next generation, 360-degree capable radar - the Lower Tier Air...www.prnewswire.comRaytheon receives $384m US Army LTAMDS radar contract
Raytheon has secured a contract worth over $384m from the US Army to provide the next-generation Lower Tier Air and Missile Defense Sensor (LTAMDS).www.army-technology.com
Pia bado kuna altenatives nyinginezo na pengine zenye urahisi na ufanisi zaidi ili kukabiliana na aina kama hizi za mashambulizi yanayoendelea kutokea mara kwa mara katika ukanda wa Mashariki ya Kati;
Mfumo wa Iron Dome wa Israeli kuukata 'mzizi wa fitina' Saudia?
Habari! Baada ya matukio mbalimbali ya mashambulizi ambayo yamekuwa yakiiathiri Saudi Arabia ikiwemo miundombinu za mafuta, kumekuwa na mpango mahususi wa kupandikiza mfumo wa ulinzi wa anga hususani dhidi ya makombora ya masafa mafupi na ndege zisizo na rubani, mfumo wa Iron Dome unaozalishwa...www.jamiiforums.com
Kenya mpakani na SomaliaIpo maeneo gani..?
Hivi unajua kwa nini Israel inashambulia misafara na madepo ya silaha kutoka Iran?Na hawana mchezo kabisa....ni kwa sababu hawataki makombora yenye uwezo mkubwa kama hayo mengine ya Iran yatue chini ya mikono ya Hezbolla etc....Paula Paul,
Wana base kila Kona ya middle East system yao ya kujilinda ingekuwa poor Kama tunavyoaminishwa kila siku wangekuwa wanasomba maiti kurudisha US,pili jambo muhimu la kuzingatia watu waangalie Israel mahali ilipo kijografia halafu uniambie kwa Nini Sirya na hezibola wa Lebanon na Hamas wa Palestina wanashindwa kuidhuru Israel kwa hicho kinachosemwa makombola ya Iran hayawezi kuwa intercepted na anti missile za wamarekani. Magenge yote ya anti Israel na anti America middle East mfadhili wao ni Iran si awape makombora waishambulie Israel!!!! Tofauti na Yale yanayorushwa west bank kwa mamia na Hamas ambayo huwa hayana madhara yeyote
Tukio la wapi Saudia au Iraq?Patriotic ilikuwa bado haijapelekwa kabla ya lile shambulizi sasa hivi ndio yamepelekwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasome tena uliposomaPatriotic ilikuwa bado haijapelekwa kabla ya lile shambulizi sasa hivi ndio yamepelekwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukio la wapi Saudia au Iraq?
Kama Saudia ilikuwepo tena quided missile zimepita hapo hapo kwenye mojawpo ya kituo cha Patriot.
Ngoja nikutafutie ramani ya location zote zilipo wekwa Patriot nchini Saudia.
Bangi imejaa kichwani.Kambi mbili za jeshi la US zimedunguliwa na waajemi na kusababisha vifo vya wanajeshi 80. Mbwa hao wanaficha ukweli
Samahani sana.Duuh!
Nahisi ulitakiwa uheshimu mawazo ya watu wengine, hakukuwa na haja ya kusema hivi, IMHO.