Mitambo ya gas Ubungo yavuja

Mitambo ya gas Ubungo yavuja

mmh imekuwje tena na hali ya sasa ipoje ndio sababu ya umeme kutokuwepo ktika baadhi ya maeneo !?
 
Mpango mzima kuhamia solar tu... Aaaa kiulainiiii

Hao Tanesco na mikataba yao ya ajabu ajabu ..watajiju.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mitambo ya gas ya kuzalishia umeme ktk Grid I ya Taifa maeneo ya Ubungo sasa hvi inavuja na hali si shwari maeneo hayo kwani kuna moshi mkali sana!

Source: Mimi mwenyewe nipo eneo la tukio!

beal,Shukrani kwa taarifa! Kumbe ndio maana umeme unakatikakatika! Sijui kitengo cha Tanesco customer care kazi yake ni nini! Manake ukiwauliza wanatoa majibu mepesi eti kuna kazi maalumu ya kukata miti kandokando ya nguzo za umeme!

Mheshimiwa Lowasa alishanawa mikono na kujitoa katika sakata la mitambo hiyo kwa kumtaja swaiba wake kuwa ndiye aliyelazimisha mitambo hiyo mibovu inunuliwe! Ukweli umedhihirika hivi karibu wakati wa ziara ya rais Obama nchini kwa kuitembelea mitambo hiyo mibovu!
 
Ha haa haaa,mkuu umenifurahisha..nadhani alikuwa ana maanisha moto ulianza 5.45a:m, ila magari yalifika saa 9:00a.m....mawazo yalikuwa kwenye kiswahili,mikono ilikuwa kwenye kiingereza

Mi nadhani wewe ndio umechanganya hapa!
Moto ulianza saa tisa usiku/alfajiri na fire walifika saa kumi na mbili kasoro asubuhi!!
Fire starts 3:00 am na fire brigades arrived 5:45 am.
 
Ni kitu cha kawaida kwenye storage zap gas moto kutokea.....Wanatakiwa kujipanga tu linapotokea jambo kama hilo wanalikabili mapema bila kuleta madhara......I worked over 20 years on that Field

Ha ha unajipa promo unataka tukupe kazi
 
Mgawo unanukia. Na hiki ni 'kisingizio' au kihalisho

...Mkuu, Mgawo uliishaanza kitambo kwa kisingizio cha kukata miti inayogusana na Nyaya za Umeme. Kwa tukio hili sasa Mgawo umehalalishwa Rasmi. Poor We.
 
Back
Top Bottom