Mitambo ya gas Ubungo yavuja

Mitambo ya gas Ubungo yavuja

tatizo watanzania sijui wakoje kuna hatari eneo flani watu bado wanaisogelea awa ndio wale wanachota petroli na diesel kwenye magari yanaoungua hadi kupelekea kupoteza maisha yao hapa nyumbani umeme amna it might be because of that problem.

Wanataka kwenda kuchota gesi watu wajaze kwenye ndoo wawe wanapikia si unajua mafuta ya taa yamepanda baada ya uchakachuaji
 
Hivi wadau niulize kitu tanzania hii baadhi ya viongozi hawana ueledi maana hii ni hatari sanaa kwa watu wanaopita na wanaoishi maeneo ya ubungo takribani watu mia tano nakuendelea hawakosekani maeneo haya ya ubungo je hawaoni kuwa ni hatarii kwa taifa ?

We unadhani bongo wakifa hao 500 ni kitu cha ajabu!
Basi we ndo umesinzia kweli!
Wamekufa zaidi ya 1000 kwenye mv bukoba kule mwanza. Zaidi ya 500 kwenye feri huko pemba! Hakuna hata moja kapata hukumu ya kisawasawa!
We ukiona moshi! Toka baruti tu!
Ukishangaa utajikuta picha yako iko ukurasa wa mbele wa nipashe umebabuka vibaya!!
 
Mbn hata hk znz umeme ulizimwa usiku? Mi nimeamka kiasi saa 10 alfajiri hakuna umeme? Ndo sababu itakua hiyohiyo? Vp sasa kushakaa sawa?
 
Kuanzia saa 9 usiku mitambo ya Aggreko imeendelea kuungua moto. Sasa hivi saa 11.45 alfajiri ndio magari ya zimamoto yanaingia.Uharibifu inaonekana ni mkubwa sana. Tujiandae kuingia gizani tena.

Kweli hii ni zaidi ya ile JKNI na madawa, Ni usiku hamna traffic, eneo linajulikana, kuna magari ya Zima moto yanakaa hapo ubungo tena songasi kwa nje, mengine mwenge na shekilango, hata ya Posta na Airport yanaweza kuwahi. Kama si Hujuma ni nini? Kama si serikali dhaifu ni nini? Kama si uozo na ubadhilifu ni nini? Ila tuliyataka wenyewe na tulifunga ndoa hii tusubiri mpaka mda ututenganishe
 
Ni moto mkubwa unawaka tangu saa kumi na moja alfajiri, umeme umekatika Sehemu kubwa ya mji
 
Mitambo ya gas ya kuzalishia umeme ktk Grid I ya Taifa maeneo ya Ubungo sasa hvi inavuja na hali si shwari maeneo hayo kwani kuna moshi mkali sana!

Source: Mimi mwenyewe nipo eneo la tukio!

hilo ni hatari, je kuna tahadhari imetolewa?
 
Moshi mkubwa unaonekana angani maeneo ya UBUNGO, inasemekana ni hitilafu kwenye kinu cha gas.
Taarifa za tahadhari bado hazijatolewa na watu wanazidi kusogea kushangaa moto.
Ni vyema tukajifunza kuchukua tahadhari na kuelekea maeneo salama zaidi kuliko kuelekea eneo la tukio ambalo ni hatari sana kwa usalama.

hili limekuwa tatizo kwa watanzania wengi huwa tunapenda sana kushuhudia hata kama tukio lenyewe linaweza kuleta madhara kwtu. tujifunze kuwa mbali na matukio yasio salama. na serikali ina wajibu wa kuwafundisha raia kuwa na tabia ya kutokimbilia vitu vya hatari. nafikiri bado tu wajinga katika eneo hili.
 
Tanesco nimehama kitambo,,,karibuni sana .
Tunakoenda hali itakuwa mbaya zaidi,,maana tanesco wameamua kufuta kesi yakupinga madai ya dowans,,it measn wapo willing kulipa 190 bil.
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    6.2 KB · Views: 113
Mitambo ya gas ya kuzalishia umeme ktk Grid I ya Taifa maeneo ya Ubungo sasa hvi inavuja na hali si shwari maeneo hayo kwani kuna moshi mkali sana!

Source: Mimi mwenyewe nipo eneo la tukio!

ndio maana kila nikiwaza nchi hii kuja kumiliki vinu vya nuclear kwa matumizi ya kuzalisha umeme itakuwa maafa zaidi kuliko ukombozi wa nishati.....!
 
Saa 3 am moto ulianza na 5.45 am ndio fire wanafika???
Hapo bado sijaelewa

Ha haa haaa,mkuu umenifurahisha..nadhani alikuwa ana maanisha moto ulianza 5.45a:m, ila magari yalifika saa 9:00a.m....mawazo yalikuwa kwenye kiswahili,mikono ilikuwa kwenye kiingereza
 
Laana ya wazee wa mtwara kila penye gas ni tafrani
 
Ni kitu cha kawaida kwenye storage zap gas moto kutokea.....Wanatakiwa kujipanga tu linapotokea jambo kama hilo wanalikabili mapema bila kuleta madhara......I worked over 20 years on that Field
 
Back
Top Bottom