Facilitator
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,279
- 1,772
Ars umekatika toka sa 9 ucku
mitambo ya gas ya kuzalishia umeme ktk grid i ya taifa maeneo ya ubungo sasa hvi inavuja na hali si shwari maeneo hayo kwani kuna moshi mkali sana!
Source: Mimi mwenyewe nipo eneo la tukio!
najaribu kuupload picha mkuu. Eneo ni chafu kuna matakataka mengi matanki chakavu yaliyotumika yametupwa ovyo eneo zima la mitambo yanazuia movements za kuzima moto.Kwa hiyo kazi ni kuondoa kwanza matakataka hayo ndipo zimamoto waendelee. space and safety management. Nimemwona mkuu wa mkoa ameingina saa 12.45 na moto umepunguzwa kwa sasa.
Mitambo ya gas ya kuzalishia umeme ktk Grid I ya Taifa maeneo ya Ubungo sasa hvi inavuja na hali si shwari maeneo hayo kwani kuna moshi mkali sana!
Source: Mimi mwenyewe nipo eneo la tukio!
Ilifaa iungue siku alipotembelea obama, alafu unaweza kuta alipofika obama hiyo mitakataka ilifunikwa na mavitambaa ya mapambo.
Means tutakosa umeme leo?
Hongera sana kwa kutujulisha maana toka saa 9 usiku maeneo mengi Tanzania nzima hayana umeme. Hapa Tabora ndiyo umerudi sasa hivi.
Saa 3 am moto ulianza na 5.45 am ndio fire wanafika???
Hapo bado sijaelewa