Means tutakosa umeme leo?
Hii ni ile mitambo michakavu iliyoletwa na Richmond, ikachukuliwa na Dowans na kuuziwa Symbion? Wajinga ndio waliwao.
Saa 3 am moto ulianza na 5.45 am ndio fire wanafika???Kuanzia saa 9 usiku mitambo ya Aggreko imeendelea kuungua moto. Sasa hivi saa 11.45 alfajiri ndio magari ya zimamoto yanaingia.Uharibifu inaonekana ni mkubwa sana. Tujiandae kuingia gizani tena.
Mitambo ya gas ya kuzalishia umeme ktk Grid I ya Taifa maeneo ya Ubungo sasa hvi inavuja na hali si shwari maeneo hayo kwani kuna moshi mkali sana!
Source: Mimi mwenyewe nipo eneo la tukio!