yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
Katika Ilani ya Uchaguzi 2015-2020 ya CCM ilihaidi kuendeleza ufuaji wa umeme wa ges katiks Mkoa wa Mtwara ili kumaliza adha ya umeme katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Mitambo hii ilinunuliwa mapema mwezi January mwaka huu wa 2018.
Mitambo hii ilinunuliwa mapema mwezi January mwaka huu wa 2018.