Mitambo IPTL yazimwa, wakwama kufanya biashara ya umeme

Ni hela zenu hivyo anajua anatoa 0.5 tu ya pato lake.!
ndio maana nimekwambia yy alijitahidi kwenye kulipa wafanyakazi hayo makosa mengine ni yake mbona mafisadi wengine wanakimbiza pesa tu nje hata duka hafungui bongo
 
Mgawo mkali unakuwaje na usiokuwa mkali unakuwaje?
 
waswshili wanasema ukimchunguza kuku utumbo huwezi kumla..mi nasema ukiichunguza iptl utumbo waweza zimia..
 
As usual Mkuu Chige at your own best! Asante kwa darasa! Je haiwezekani kukubaliana viwango wa tofauti vya capacity charge kulingana na mahitaji yetu ya nishati?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nombeni kujilishwa kama hizi ni Kampuni Mbili tofauti.

1. PAN AFRICA POWER
2. PAN AFRICA ENERGY

Usifukue Makaburi!
Hawa wameshika mpaka vitalu vya Gesi na Mafuta. Ule wimbo wa sio fedha za serikali waliimba watu wengi na haikuwa bure. Kumbuka maneno ya Waziri Mkuu Pinda ukiwagusa mafisadi nchi itatetemeka habari ndio hizo. Nalaani mkataba wa Zanzibar uliofuta Azimio la Arusha !
 
Risk ipi? Ile risk ya kula billion 6 kila mwezi kiulaini kabisa, ufanye kazi au usifanye kazi ni uamuzi wako, 6B yako iko pale pale, au risk ipi unazungumzia?
 
Rejea hiyo barua ya mwaka 2004, hiyo barua inaonyesha kwamba endapo IPTL itashindwa kuzalisha umeme pale watakapohitajika, kwa sababu zozote zile, iwe ubovu wa mitambo au ukosefu wa vibali, basi Tanesco ina haki ya kimkataba kuvunja mkataba huo.
 

Attachments

  • IPTL Phase 1.zip
    852.9 KB · Views: 32
Mgawo mkali unakuwaje na usiokuwa mkali unakuwaje?
Kipindi cha Mkwere kulikuwa na mgao wa masaa 12 kila siku kwa mwaka mzima, hasa ktk mkoa wa Arusha. Huo ndo mgao mkali kwangu mimi. Mgao wa masaa 1-3 naweza kusema tumeshauzoea, ni kawaida.
 
Rejea hiyo barua ya mwaka 2004, hiyo barua inaonyesha kwamba endapo IPTL itashindwa kuzalisha umeme pale watakapohitajika, kwa sababu zozote zile, iwe ubovu wa mitambo au ukosefu wa vibali, basi Tanesco ina haki ya kimkataba kuvunja mkataba huo.
Sasa hayo maelezo yana uhusiano gani na nilichoandika?!
 
Awamu ya 5 hii

Post sent using JamiiForums mobile app
naona hata likes tunazopeana JF awamu hii ya 5,kwenye jf app,zinaishia kusoma 5.

kweli awamu ya tano si mchezo.
safi sana jpm....nyosha nchi baba.
 
For 23 years wamekua wakila monthly pension ya billion 6 bila kufanya kazi yeyote ile.., bure kabisa
Sasa kama mliwapa wa kumkataba wa kununua umeme pale tu mnapohitaji ulitarajia nini?! Ingekuwa wewe ungekubali uwekeze mitambo lakini kuuza umeme ni hadi watakapotaka wao?!

Narudia, hata kama ingekuwa ni wakati wa Nyerere, so long as mkataba ulikuwa ni kununua umeme pale tu kunapokuwa na mahitaji basi katika mazingira kama hayo capacity charge ni LAZIMA!!! Kwahiyo hawakuwa wanakula pesa za bure... nature ya mkataba ndiyo iliyowapa haki ya capacity charge! Na suala la capacity charge lipo dunia mzima!!!
 
As usual Mkuu Chige at your own best! Asante kwa darasa! Je haiwezekani kukubaliana viwango wa tofauti vya capacity charge kulingana na mahitaji yetu ya nishati?

Sent using Jamii Forums mobile app
Of course, negotiation ni LAZIMA kwa watu wanaoweka mbele maslahi mapana ya taifa! Kwa mfano, Investor ata-propose capacity charge lakini upande wa serikali nao watatakiwa kwenda mezani na maximum proposed capacity charge kwamba, above that, no business!!!!

But all in all, isn't about huyu anakuja na propose hii na yule anakuja na hii bila kuonesha kwanini umefikia hiyo proposed amount. Kwa upande wa mwekezaji, obvious estimation zake zita-base kwenye cost of wear and tear.

Hii mitambo inaponunuliwa tayari inakuwa na depreciation value kwa kila mwaka! Which means, assume depreciation value kwa mwaka ni $100, na expected sales ya umeme kwa mwaka (kutokana na mkataba wenu) ni $30, hapo mwekezaji lazima ata-demand capacity charge ya $70 ili ku-offset hiyo annual depreciation cost.

Na isipokuwa hivyo, so who's to bear that cost?!

REMEMBER, hayo hapo juu yatatokana kwenye mazingira ya win-win situation lakini kama hutaki kujifanya mzalendo fake unatakiwa kukubali kwa nature ya mkataba wa IPTL, capacity charge ilikuwa haikwepeki!!!

Na hata sisi raia hizi capacity charge tunalipa sana!!! DAWASCO wakija kukufungia tu ile mita yao ya maji... maji utumie au usitumie; lazima ulipe capacity charge in the name of service charge!!!! TANESCO nadhani ni Muhongo ndie aliitoa hiyo service charge!!!

Ukiwa na account bank hata usipoenda kutumia zile stationeries zao kwa mwaka mzima, bado maintenance fee lazima wakuchape and they're right!!! Wamenunua yale madubwasha ili wateja wayatumie... kwahiyo hata usipoyatumia, wao haiwahusu lazima uyalipie kwa sababu tayari wameshaingia gharama!!!

FACT From Business Point of View against FAKE Nationalism Point of View
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…