The Magnifico
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 427
- 1,579
Na kesho mida kama hii, natumai mama atakuwa ameshatangazwa mshindi kwa kishindo cha mbwa koko.
Mimi nilikuwa navishangaa vyombo vya ulinzi vilikuwa vinahangaika nini, maana nchi nyingi wananchi wake hawana vinasaba vya maandamano, na mojawapo ni Tanzania.
Sasa tufunge mikanda kwa miaka mingine 5 ijayo, tuchapeni kazi wanawane!
Deal Secured✅
Mimi nilikuwa navishangaa vyombo vya ulinzi vilikuwa vinahangaika nini, maana nchi nyingi wananchi wake hawana vinasaba vya maandamano, na mojawapo ni Tanzania.
Sasa tufunge mikanda kwa miaka mingine 5 ijayo, tuchapeni kazi wanawane!
Deal Secured✅