PreGE2025 Miswada ya sheria: It is over before it begins

PreGE2025 Miswada ya sheria: It is over before it begins

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,255
Reaction score
96,416
Kwa drama hii inayofanywa na Serikali kuhusu miswada hii au kama alivyoiita Mbowe kuwa ni MATUSI, basi IT IS OVER BEFORE IT BEGINS.

CCM wameshaamua kuwa miswada hii inaenda kama ilivyo with COSMETIC POLISH. Yote yanayoendelea ni kupoteza muda ni DRAMA. Wenye akili ni kuamua what next kuikabili serikali!

Mbowe kasema MAANDAMANO, lakini kwa Watanzania sidhani! HAKUNA WA KUHILIMILI KUFA. TUKIWEZA KUHIMILI KUFA, KESHO KATIBA MPYA INAPATIKANA...... ANGALAU WAFE/TUFE KAMA MILIONI MOJA, SERIKALI ITALETA KATIBA LEO HII HII.

Kenya wanaeza kuishinikiza Serikali, lakini hapa kwetu tu MAITI ZINAZOTEMBEA

Viongozi wa dini mnasemaje?
 
Back
Top Bottom