boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 5,793
- 4,214
Ukabulu bado unaendelea
Binafsi mpaka muda huu sijaliona kosa la kumtia huyo kijani hatiani, hivi kusema Raisi kitu gani kunamfanya kweli rais kuwa kitu gani ?, kwanini hao wapambe wake wasituoneshe kwamba rais ni kitu !!, Natafakari utendaji wa mahakama zetu.mhh!!! siku wangedukua huku, jf ingekuwa segerea forum. sikuhizi kama sio ccm au huungi mkono baadhi ya juhudi roho juujuu tu. ukiropoka tu hakuna salia mtume. kazi kwelikweli. Haya mambo yakienda sanjali na mahakama ya mafisadi kula vichwa na kuvitia gerezani nyumbani kutanoga kupitiliza.
Kinachonishangaza kuna mijitu inajitoa ufahamu na kudai eti acha akatiwe fundisho, shame to the Law makers, Police and Megistrates, hivi kweli Polisi aliamua kuacha kazi zake za ulinzi akampeleka huyo kijana mahakamani, na hakimu nae akapoteza muda wake kushughulikia hilo jalada ??, mbona tunasikia kuna mahabusu wengi magerezani kesi zao hazijaisha na zina muda mrefu tu !!, na kwamba kmahakama ina upungufu wa mahakimu ?.Huu ni ujinga, sasa mtu akisema 'Rais Magufuli kitu gani bwana' ndio anafungwa miezi 6, amekuwa Mungu? Seriously, mapolisi na majaji tuache kujipendekeza kwa Rais ili kupandishwa vyeo, mnaumiza wananchi bure..
Ndio, nakumbuka aliwahi kusema (Katiba hii inanipa madaraka makubwa sana, siku akitokea rais mwehu akaitumia vibaya mtalalamika sana, Ni bora sasa tukayapunguza madaraka ya rais), yametokea, cha kushangaza kuna watu walitaka Eti madaraka ya rais yaongezwe.Tuko katika nyakati za hatari ambazo hata muhasisi wa taifa hili haliziona ila nashangaa alitutoka pasipo kuzifanyia kazi. Tunavuna tulichopanda.
Tumlilie Mungu atajibu maombi;Ndio, nakumbuka aliwahi kusema (Katiba hii inanipa madaraka makubwa sana, siku akitokea rais mwehu akaitumia vibaya mtalalamika sana, Ni bora sasa tukayapunguza madaraka ya rais), yametokea, cha kushangaza kuna watu walitaka Eti madaraka ya rais yaongezwe.
Mkuu jela hakuna kufundishana tabia njema,labda tabia zile mbaya.Acha akafundishwe tabia njema!
Ya nini?Hii ndo dawa
Inategemea kama ni mtaji je bora ukale ugali wa bure kulinda mtaji.Alipe.tu hiyo 200k ili aendelee na shughuli zake
Mtatiro yupi wa cuf au wa kijani, ukiunga mkono unasamehewa dhambi zote unazaliwa upya na kufanya kiumbe kipyajamani wadau ilishindikana kabisa kumtolea faini?, kaka Mtatiro alikuwa wapi asimtolee kijana wetu. wengine tujifunze kupitia hili alipoposti watu tulimsapoti kwa kushare, kucomment na kulike mwisho wa siku amebaki peke yake bila msaada.
Kuna tofauti kati ya mpakwa mafuta mteule na msaga soli.Bashite na makontena yenye bilions ya kodi anachekewa tu.huyu mlalahoi anaonewa hata 200k hana maskini kosa lenyewe hata onyo halistaili.
Pole mnyonge
Miezi 6 kulinda 200k? Mbona hizo akilipa anaweza kuzipata ndani ya mwezi mmoja kama ni mchakarikajiInategemea kama ni mtaji je bora ukale ugali wa bure kulinda mtaji.