Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Wale wakongwe wenzangu watakubaliana nami kuwa Hip Hop ya Bongo haikuwa nyuma katika mistari makini ,majigambo na style za kutisha. Kwa sasa wapo vijana wanaoweza kuuendeleza Music huu hapa Bongo ila kuna vionjo vinakosekana haswa matambo ya kipindi kile.
Hebu tujikumbushe tambo za enzi zile sio mbaya pia ukaweka tambo za mistari ya kipindi hiki.
Prof Jay (Nigger jay)-wimbo wa Funga kazi(HBC)
''Kwa Jay mtapata maneno makali na mengi ya kashfa mfululizo,
Iwe ni onyo na funzo,
Kwa wanye kelele pasipo uwezo,
Wanatumia vigezo,
Unataka kurap pasipo na nyenzo,
Hayo ni mambo ya chezo,
Kutokataa maelekezo wakati huna uwezo''
Imam Abas -wimbo mitaa ya kati
''Niguse bahati mbaya ,nikuumize makusudi''
Mr. II-Sugu (II Proud)-wimbo mikononi mwa polisi
''Afande anataka kilo,
Mfukoni mimi na zero,
Nazidi kuwa mwenyeji ndani ya sero,''
Simple X -wimbo Nawakilisha
''Natikisa bongo visiwani mpaka bara,
Nimekuwa kinara ,
Kila kitengo mi nang'ara,''
Endelea....
Hebu tujikumbushe tambo za enzi zile sio mbaya pia ukaweka tambo za mistari ya kipindi hiki.
Prof Jay (Nigger jay)-wimbo wa Funga kazi(HBC)
''Kwa Jay mtapata maneno makali na mengi ya kashfa mfululizo,
Iwe ni onyo na funzo,
Kwa wanye kelele pasipo uwezo,
Wanatumia vigezo,
Unataka kurap pasipo na nyenzo,
Hayo ni mambo ya chezo,
Kutokataa maelekezo wakati huna uwezo''
Imam Abas -wimbo mitaa ya kati
''Niguse bahati mbaya ,nikuumize makusudi''
Mr. II-Sugu (II Proud)-wimbo mikononi mwa polisi
''Afande anataka kilo,
Mfukoni mimi na zero,
Nazidi kuwa mwenyeji ndani ya sero,''
Simple X -wimbo Nawakilisha
''Natikisa bongo visiwani mpaka bara,
Nimekuwa kinara ,
Kila kitengo mi nang'ara,''
Endelea....