Mistake ya kuachia sauti zilizodukuliwa za viongozi wastaafu kimehatarisha usalama wa nchi yetu

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,498
51,092
Kuna watu walidhani labda kwa kuachia zile sauti kutakwenda kuzima fukuto la kisiasa katika chama cha Mapinduzi.
Lakini wasichokijua ni kwamba uamuzi ule wa kuachia zile sauti umetuweka sisi kama taifa kiusalama katika hali ngumu sana.
Leo hii watu wanawaza na kuwazua namna ya kukwepa udukuzi huu, Watu wanaanza kujifunza kutafuta tekinolojia mbadala ili maongezi yao yasidukuliwe.
Kitendo hiki cha udukuzi kitasababisha Taasisi za Usalama zianze kukosa information zenye quality kutoka kwa high profile individuals kwa sababu waliovujisha zile Sauti wameudhihirishia umma kuwa wanayo capability ya kuingia kwenye mazungumzo private kabisa ya watu na kuwasikiliza.
Bora capability hiyo ingebaki kuwa ni rumours, lakini leo wananchi hususan wale HIGH PROFILE INDIVIDUALS AMBAO NI NYETI KWA USALAMA WA NCHI wametambua kuwa wanasikilizwa hadi hata wanapoongea kwenye simu na wake/waume zao kwa hiyo tegemea hawa watu kwenda underground zaidi, kutumia njia mbadala zaidi na hivyo kuikosesha taasisi Nyeti taarifa muhimu!

Cha kusikitisha zaidi wale watu wenye nia mbaya dhidi ya Jamhuri hao ndo wamegutuka moja kwa moja kamwe hawatatumia Whatsaapp, SMS wala kupigiana kwenye mitandao ya kawaida, Watu wataanza kutumia App services za nchi mbalimbali ambazo Wadukuzi wetu bado hawajaseti mitambo kudukua huko

Mimi naweza kusema, uamuzi wa kuachia Sauti za Mzee Kinana, Makamba na Membe umefanyika kisiasa sana, haukuzingatia mahitaji muhimu ya kiulinzi na usalama kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Athari za uamuzi ule, wadukuzi wataanza kuuona, Wataishia kupata taarifa nyepesi nyepesi za watu wakizungumza habari za mpira, kutongozana, LAKINI TAARIFA ZA MAANA ZA KUHATARISHA NCHI WATAKUWA HAWAZIPATI KIRAHISI KAMA ILIVYOKUWA KABLA HAWAJATOA PUBLIC SAUTI ZA WALE WAZEE

Ingekuwa mimi ndo nina mamlaka, yeyote aliyeauthorize kurelease zile Sauti ningemtumbua siku hiyohiyo
 
Kuna watu walidhani labda kwa kuachia zile sauti kutakwenda kuzima fukuto la kisiasa katika chama cha Mapinduzi.
Lakini wasichokijua ni kwamba uamuzi ule wa kuachia zile sauti umetuweka sisi kama taifa kiusalama katika hali ngumu sana.
Leo hii watu wanawaza na kuwazua namna ya kukwepa udukuzi huu, Watu wanaanza kujifunza kutafuta tekinolojia mbadala ili maongezi yao yasidukuliwe.
Kitendo hiki cha udukuzi kitasababisha Taasisi za Usalama zianze kukosa information zenye quality kutoka kwa high profile individuals kwa sababu waliovujisha zile Sauti wameudhihirishia umma kuwa wanayo capability ya kuingia kwenye mazungumzo private kabisa ya watu na kuwasikiliza.
Bora capability hiyo ingebaki kuwa ni rumours, lakini leo wananchi hususan wale HIGH PROFILE INDIVIDUALS AMBAO NI NYETI KWA USALAMA WA NCHI wametambua kuwa wanasikilizwa hadi hata wanapoongea kwenye simu na wake/waume zao kwa hiyo tegemea hawa watu kwenda underground zaidi, kutumia njia mbadala zaidi na hivyo kuikosesha taasisi Nyeti taarifa muhimu!

Cha kusikitisha zaidi wale watu wenye nia mbaya dhidi ya Jamhuri hao ndo wamegutuka moja kwa moja kamwe hawatatumia Whatsaapp, SMS wala kupigiana kwenye mitandao ya kawaida, Watu wataanza kutumia App services za nchi mbalimbali ambazo Wadukuzi wetu bado hawajaseti mitambo kudukua huko

Mimi naweza kusema, uamuzi wa kuachia Sauti za Mzee Kinana, Makamba na Membe umefanyika kisiasa sana, haukuzingatia mahitaji muhimu ya kiulinzi na usalama kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Athari za uamuzi ule, wadukuzi wataanza kuuona, Wataishia kupata taarifa nyepesi nyepesi za watu wakizungumza habari za mpira, kutongozana, LAKINI TAARIFA ZA MAANA ZA KUHATARISHA NCHI WATAKUWA HAWAZIPATI KIRAHISI KAMA ILIVYOKUWA KABLA HAWAJATOA PUBLIC SAUTI ZA WALE WAZEE

Ingekuwa mimi ndo nina mamlaka, yeyote aliyeauthorize kurelease zile Sauti ningemtumbua siku hiyohiyo
shida haiwezekani kuwa ww mwenye mamlaka
 
Kuna watu walidhani labda kwa kuachia zile sauti kutakwenda kuzima fukuto la kisiasa katika chama cha Mapinduzi.
Lakini wasichokijua ni kwamba uamuzi ule wa kuachia zile sauti umetuweka sisi kama taifa kiusalama katika hali ngumu sana.
Leo hii watu wanawaza na kuwazua namna ya kukwepa udukuzi huu, Watu wanaanza kujifunza kutafuta tekinolojia mbadala ili maongezi yao yasidukuliwe.
Kitendo hiki cha udukuzi kitasababisha Taasisi za Usalama zianze kukosa information zenye quality kutoka kwa high profile individuals kwa sababu waliovujisha zile Sauti wameudhihirishia umma kuwa wanayo capability ya kuingia kwenye mazungumzo private kabisa ya watu na kuwasikiliza.
Bora capability hiyo ingebaki kuwa ni rumours, lakini leo wananchi hususan wale HIGH PROFILE INDIVIDUALS AMBAO NI NYETI KWA USALAMA WA NCHI wametambua kuwa wanasikilizwa hadi hata wanapoongea kwenye simu na wake/waume zao kwa hiyo tegemea hawa watu kwenda underground zaidi, kutumia njia mbadala zaidi na hivyo kuikosesha taasisi Nyeti taarifa muhimu!

Cha kusikitisha zaidi wale watu wenye nia mbaya dhidi ya Jamhuri hao ndo wamegutuka moja kwa moja kamwe hawatatumia Whatsaapp, SMS wala kupigiana kwenye mitandao ya kawaida, Watu wataanza kutumia App services za nchi mbalimbali ambazo Wadukuzi wetu bado hawajaseti mitambo kudukua huko

Mimi naweza kusema, uamuzi wa kuachia Sauti za Mzee Kinana, Makamba na Membe umefanyika kisiasa sana, haukuzingatia mahitaji muhimu ya kiulinzi na usalama kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Athari za uamuzi ule, wadukuzi wataanza kuuona, Wataishia kupata taarifa nyepesi nyepesi za watu wakizungumza habari za mpira, kutongozana, LAKINI TAARIFA ZA MAANA ZA KUHATARISHA NCHI WATAKUWA HAWAZIPATI KIRAHISI KAMA ILIVYOKUWA KABLA HAWAJATOA PUBLIC SAUTI ZA WALE WAZEE

Ingekuwa mimi ndo nina mamlaka, yeyote aliyeauthorize kurelease zile Sauti ningemtumbua siku hiyohiyo
usalama gani unaousemea?
 
Kuna watu walidhani labda kwa kuachia zile sauti kutakwenda kuzima fukuto la kisiasa katika chama cha Mapinduzi.
Lakini wasichokijua ni kwamba uamuzi ule wa kuachia zile sauti umetuweka sisi kama taifa kiusalama katika hali ngumu sana.
Leo hii watu wanawaza na kuwazua namna ya kukwepa udukuzi huu, Watu wanaanza kujifunza kutafuta tekinolojia mbadala ili maongezi yao yasidukuliwe.
Kitendo hiki cha udukuzi kitasababisha Taasisi za Usalama zianze kukosa information zenye quality kutoka kwa high profile individuals kwa sababu waliovujisha zile Sauti wameudhihirishia umma kuwa wanayo capability ya kuingia kwenye mazungumzo private kabisa ya watu na kuwasikiliza.
Bora capability hiyo ingebaki kuwa ni rumours, lakini leo wananchi hususan wale HIGH PROFILE INDIVIDUALS AMBAO NI NYETI KWA USALAMA WA NCHI wametambua kuwa wanasikilizwa hadi hata wanapoongea kwenye simu na wake/waume zao kwa hiyo tegemea hawa watu kwenda underground zaidi, kutumia njia mbadala zaidi na hivyo kuikosesha taasisi Nyeti taarifa muhimu!

Cha kusikitisha zaidi wale watu wenye nia mbaya dhidi ya Jamhuri hao ndo wamegutuka moja kwa moja kamwe hawatatumia Whatsaapp, SMS wala kupigiana kwenye mitandao ya kawaida, Watu wataanza kutumia App services za nchi mbalimbali ambazo Wadukuzi wetu bado hawajaseti mitambo kudukua huko

Mimi naweza kusema, uamuzi wa kuachia Sauti za Mzee Kinana, Makamba na Membe umefanyika kisiasa sana, haukuzingatia mahitaji muhimu ya kiulinzi na usalama kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Athari za uamuzi ule, wadukuzi wataanza kuuona, Wataishia kupata taarifa nyepesi nyepesi za watu wakizungumza habari za mpira, kutongozana, LAKINI TAARIFA ZA MAANA ZA KUHATARISHA NCHI WATAKUWA HAWAZIPATI KIRAHISI KAMA ILIVYOKUWA KABLA HAWAJATOA PUBLIC SAUTI ZA WALE WAZEE

Ingekuwa mimi ndo nina mamlaka, yeyote aliyeauthorize kurelease zile Sauti ningemtumbua siku hiyohiyo
Amtumbue nani wakati yeye ndio aliyetoa agizo zirushwe .Yeye mbona huwa anawasema hadharani maafisa usalama wa taifa kumbuka kuhusu Diwani Athumani .
 
Kuna watu walidhani labda kwa kuachia zile sauti kutakwenda kuzima fukuto la kisiasa katika chama cha Mapinduzi.
Lakini wasichokijua ni kwamba uamuzi ule wa kuachia zile sauti umetuweka sisi kama taifa kiusalama katika hali ngumu sana.
Leo hii watu wanawaza na kuwazua namna ya kukwepa udukuzi huu, Watu wanaanza kujifunza kutafuta tekinolojia mbadala ili maongezi yao yasidukuliwe.
Kitendo hiki cha udukuzi kitasababisha Taasisi za Usalama zianze kukosa information zenye quality kutoka kwa high profile individuals kwa sababu waliovujisha zile Sauti wameudhihirishia umma kuwa wanayo capability ya kuingia kwenye mazungumzo private kabisa ya watu na kuwasikiliza.
Bora capability hiyo ingebaki kuwa ni rumours, lakini leo wananchi hususan wale HIGH PROFILE INDIVIDUALS AMBAO NI NYETI KWA USALAMA WA NCHI wametambua kuwa wanasikilizwa hadi hata wanapoongea kwenye simu na wake/waume zao kwa hiyo tegemea hawa watu kwenda underground zaidi, kutumia njia mbadala zaidi na hivyo kuikosesha taasisi Nyeti taarifa muhimu!

Cha kusikitisha zaidi wale watu wenye nia mbaya dhidi ya Jamhuri hao ndo wamegutuka moja kwa moja kamwe hawatatumia Whatsaapp, SMS wala kupigiana kwenye mitandao ya kawaida, Watu wataanza kutumia App services za nchi mbalimbali ambazo Wadukuzi wetu bado hawajaseti mitambo kudukua huko

Mimi naweza kusema, uamuzi wa kuachia Sauti za Mzee Kinana, Makamba na Membe umefanyika kisiasa sana, haukuzingatia mahitaji muhimu ya kiulinzi na usalama kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Athari za uamuzi ule, wadukuzi wataanza kuuona, Wataishia kupata taarifa nyepesi nyepesi za watu wakizungumza habari za mpira, kutongozana, LAKINI TAARIFA ZA MAANA ZA KUHATARISHA NCHI WATAKUWA HAWAZIPATI KIRAHISI KAMA ILIVYOKUWA KABLA HAWAJATOA PUBLIC SAUTI ZA WALE WAZEE

Ingekuwa mimi ndo nina mamlaka, yeyote aliyeauthorize kurelease zile Sauti ningemtumbua siku hiyohiyo

Madaraka makubwa akili kisoda!
 
Jambo Hili Limekuwa Kama Yale Mataifa Makubwa Duniani
Huyu Anatengeneza Dege Lisiloonwa Na Radar
Mwingine Anavumbua Mtego Wa Kukamata Makombora
Wengine Wakapeleka SEAL TEAM Mpaka Pakistan

Acha Tuone Ingawa Amani Ni Muhimu Sana Tanzania
Kuliko Maslahi Ya WatuWachache
 
Kweli kabisa uliloongea lina mashiko sana katika jamii yetu.
Hawakutambua matokeo ya hii inshu bali walifanya ili kumfurahisha mzee baba.

Kwasasa zile information walizokuwa wanapata kirahisi hazitapatikana, maana wamewashtua hata waliokuwa wamelala.
 
Ni noma sana lile lilikuwa kosa kubwa sanaa japo siku hizi huwezi fanya hata kikao cha siri Polisi wasijuee yanii.. mashushu kila konaaa!! Mitando sio salama tena mamaeee... Nawaza leo ujichanganye umtongoze mchepuko wa Jiwe au mwanae Walahi utaokotwa kwenye kirobaaa
Mbona nlimtongoza mwanae mzee
 
Kuna watu walidhani labda kwa kuachia zile sauti kutakwenda kuzima fukuto la kisiasa katika chama cha Mapinduzi.
Lakini wasichokijua ni kwamba uamuzi ule wa kuachia zile sauti umetuweka sisi kama taifa kiusalama katika hali ngumu sana.
Leo hii watu wanawaza na kuwazua namna ya kukwepa udukuzi huu, Watu wanaanza kujifunza kutafuta tekinolojia mbadala ili maongezi yao yasidukuliwe.
Kitendo hiki cha udukuzi kitasababisha Taasisi za Usalama zianze kukosa information zenye quality kutoka kwa high profile individuals kwa sababu waliovujisha zile Sauti wameudhihirishia umma kuwa wanayo capability ya kuingia kwenye mazungumzo private kabisa ya watu na kuwasikiliza.
Bora capability hiyo ingebaki kuwa ni rumours, lakini leo wananchi hususan wale HIGH PROFILE INDIVIDUALS AMBAO NI NYETI KWA USALAMA WA NCHI wametambua kuwa wanasikilizwa hadi hata wanapoongea kwenye simu na wake/waume zao kwa hiyo tegemea hawa watu kwenda underground zaidi, kutumia njia mbadala zaidi na hivyo kuikosesha taasisi Nyeti taarifa muhimu!

Cha kusikitisha zaidi wale watu wenye nia mbaya dhidi ya Jamhuri hao ndo wamegutuka moja kwa moja kamwe hawatatumia Whatsaapp, SMS wala kupigiana kwenye mitandao ya kawaida, Watu wataanza kutumia App services za nchi mbalimbali ambazo Wadukuzi wetu bado hawajaseti mitambo kudukua huko

Mimi naweza kusema, uamuzi wa kuachia Sauti za Mzee Kinana, Makamba na Membe umefanyika kisiasa sana, haukuzingatia mahitaji muhimu ya kiulinzi na usalama kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Athari za uamuzi ule, wadukuzi wataanza kuuona, Wataishia kupata taarifa nyepesi nyepesi za watu wakizungumza habari za mpira, kutongozana, LAKINI TAARIFA ZA MAANA ZA KUHATARISHA NCHI WATAKUWA HAWAZIPATI KIRAHISI KAMA ILIVYOKUWA KABLA HAWAJATOA PUBLIC SAUTI ZA WALE WAZEE

Ingekuwa mimi ndo nina mamlaka, yeyote aliyeauthorize kurelease zile Sauti ningemtumbua siku hiyohiyo
Kabisa......
 
usalama gani unaousemea?
Unless waache kabisa kutumia hizi simu na kurudia ujima. Vinginevyo ni kujidanganya. Kudukuliwa ni fact of the day. Hata kama sio ndani, nje wanazo system za kutosha kudukua mawasiliano.

Kwa mfano, anti virus software ya Russia ilitumika sana kama system ya udukuzi kwa Russia mpaka Israel walipowashitua wamarekani. How about that?

Sisi hatujajificha kwenye hali halisi ya dunia ilivyo. Tunapofikiri na kuandika tuwe strategic. Tusiandike kama wote tumesimama mstari mmoja
 
Back
Top Bottom