olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,303
- 1,559
Tujikumbushe kidogo zile harakati za PIMBI na madem ambazo hajawahi kufanikiwa hata siku moja
Siku moja kachukua wanawake wawili (mijimama) akaenda kawapiga pombe vibaya sana na yeye piga pombe mingi, akaenda kuchukua guest akapige three some, kufika ndani AKAZIMA, kuja kushtuka kesho saa tatu asubuhi wenzie wanavaa nguo wanajiandaa kuondoka.
Siku nyingine kamtokea msichana anauza maandazi, Dada akamuambia siwezi mama kaniachia maandazi, PIMBI akaamua kununua maandazi yote (kama 100 hivi) ili akapige mzigo, wakati wanaondoka mama MTU katokea akafurahi sana kukuta maandazi yameisha, akamuongezea maandazi mengine 100, PIMBI akabaki amezubaa na mfuko wa maandazi hana pa kuyapeleka.
Siku moja kachukua wanawake wawili (mijimama) akaenda kawapiga pombe vibaya sana na yeye piga pombe mingi, akaenda kuchukua guest akapige three some, kufika ndani AKAZIMA, kuja kushtuka kesho saa tatu asubuhi wenzie wanavaa nguo wanajiandaa kuondoka.
Siku nyingine kamtokea msichana anauza maandazi, Dada akamuambia siwezi mama kaniachia maandazi, PIMBI akaamua kununua maandazi yote (kama 100 hivi) ili akapige mzigo, wakati wanaondoka mama MTU katokea akafurahi sana kukuta maandazi yameisha, akamuongezea maandazi mengine 100, PIMBI akabaki amezubaa na mfuko wa maandazi hana pa kuyapeleka.