Missed connection: ''kaka, Samora Road ndo iko wapi?''

Missed connection: ''kaka, Samora Road ndo iko wapi?''

Kuandika maneno mengi humu kingine....na kumtongoza mtoto wa kike mpaka akuvulie bikini ni kitu kingine.....

IT TAKES COURAGE TO ACT.....
 
Kaveli a.k.a 2pac mtafute saigon mnaweza kufanya kitu, hiyo presentation nimeikubali
 
Kaveli ni muhuni ila unajua sana kiingereza,salute!
 
.....kumbukeni licha ya jamaa kuwa alikuwa katika kufuatilia pesa/kazi/mchongo lakini hakuwa na hela chai yenyewe kakopa kwa mama ntilie ninyi mnataka eti angelianzisha palepale wakati hata hela ya maji ya azam hana!!!#kaveli ulifanya vema kazi pesa kwanza
 
Kuandika maneno mengi humu kingine....na kumtongoza mtoto wa kike mpaka akuvulie bikini ni kitu kingine.....

IT TAKES COURAGE TO ACT.....


You are right bro. Kuuza maneno mpk demu asaule bikkini is an art. It ain't easy unless demu awe ni for 'booty calls' and into 'quickies' kind of stuff.

Ata ivyo, my mind was centered kwenye inshu ya hela muda huo.
 
Kaveli ni muhuni ila unajua sana kiingereza,salute!


Ila ni muhuni 'mwema'. Hahahaa mkuu ngeli yangu ya manati, ivyo ivyo 'navunja yai' kibishi tu. Si unajua tena hatukubahatika kulamba vitado, ikabidi tujikite kwenye 'elimuMtaani dot kom' ambayo ni practical zaidi na ni last resort for us to keep surviving the times.

Salute to ya too brada. mia
 
Pale unaposoma story zen unatamani isiishe..Btw hope to see her again..This time usifanye makosa
 
.....kumbukeni licha ya jamaa kuwa alikuwa katika kufuatilia pesa/kazi/mchongo lakini hakuwa na hela chai yenyewe kakopa kwa mama ntilie ninyi mnataka eti angelianzisha palepale wakati hata hela ya maji ya azam hana!!!#kaveli ulifanya vema kazi pesa kwanza


Mkuu, kula like elfu mia. You have thought of it loudly. Mida ile niko majalala, ata nauli ya kurudi sina uhakika. In the given circumstances, utaweza kweli kuanza kufuatilia dada duu badala ya kuwaza kwanza utauonaje mchana? Hell nah!

Alafu mfukoni una reso tu, utatoa wapi ushababi wa kuanza kufuatilia a 'stranger kichuna' in downtown, mida yenyewe ile ilikuwa inaelekea masaa ya lunch. Lol.

Kweli kaka nimependa slogan yako... Kazi/pesa kwanza. Respect brotha.
 
Ghetto story telling at it's very best. Ikiandikiwa kwenye track, Lost boyz would be proud.


Hahahaa it sounds like a getho gospel huh? That's cool if You Got That Hot Shit. I am always down for Lost Boys. Too, I always RECOGNIZE the Dillated People in the street.

Ahsante sana brotha. I wanna be a Microphone Master so as to voice-out for the voiceless ones. I am trynna to Survive The Times without Getting Myself A Gun.

Respect to ya mkuu.
 
Pale unaposoma story zen unatamani isiishe..Btw hope to see her again..This time usifanye makosa


Kabsa Mkuu, I am in hope-mode to meet her again. Surely this time lazima nicheze kama Pele. Afe kipa, afe beki, lazima nitikise nyavu.

I like your fair comment Mkuu. Salute!
 
Lipa kodi ya nyumba usije sahau... Mama ntilie kamlipe pia. But story yako kipaji tosha umeipanga in high definition.


Teh teh teh Mkuu, the landlord kapigwa kabobo na kaelewa. Nimemwambia "Mzee wangu, nipe siku kadhaa tu nitarekebisha". Akanihoji "siku kadhaa ndo siku ngapi?" Nikamjibu "yaani siku chache Mzee wangu". Hahahaa nimehakikisha izo siku zinaremain kuwa indefinite ili nisijipige kitanzi afu Mzee akaja kubetua stuli. Lol

Mama ntilie kalipwa leo mapema tu asubuhi. Huwa sinyei kambi aisee.

Thanks Mkuu. Pamoja
 
Kwa style hii ya vichochoro na kutembea kwa mguu atabaki kuwaita watoto wa posta shemejiiiiiii


Kwi kwii kwiii nitaishia kuwaita 'shemeji' teeeh! sheeedah sana Mkuu. Ofkoz najua nyie wenye 'mikebe' plus goto la kutosha... mnang'oa mademu watamu kilaini sana.

Endeleeni kula matamu ya nchi. Sie wa Kitaa mtaji wetu Mkuu ni kuchonga ngenga na ujanja ujanja kama Young Dee.

Ila pia zali hutokea tu ata kama sio mentali.
 
Back
Top Bottom