Miss utalii Dom balaa tupu.

Miss utalii Dom balaa tupu.

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Ni pale ilipofikia hatua ya 5 bora ndipo ghafla kwa mshangao wa wengi,majaji wa mashindano hayo wakiongozwa na Gideon Chipungahelo walipoanza kuzozana na kutupiana makonde ya rejareja.Chanzo cha ugomvi huo inasemekana ni baadhi ya majaji kutaka washiriki fulani ambao wanahusiana nao kimapenzi washinde.Hata hivyo licha ya ugomvi huo,bwana Gideon Chipungahelo alifanikiwa kutaja majina ya washindi watatu bora.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom