Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 35,667
- 70,299
Nipo area CMkuu uko dodoma sehemu gan maana hata mimi now niko dodoma
Nipo area CMkuu uko dodoma sehemu gan maana hata mimi now niko dodoma
waaaaohh What an amazing view!!! Very beutiful
Una picha yake uiweke hapa wee Cajojo?
Hata sina mkuu
Una picha yake uiweke hapa wee Cajojo?
Hata sina mkuu
mkuu shokeni supu ya kongoro unapata saa kumi na mbili alfajiri.Mji ambao SUPU haiwezi kupatikana mpaka ifike saa tatu asubuhi hata uwe na mazuri yepi siwezi kuupenda kamwe.
Kila mtu ana vigezo vyake, niseme tu mwanza huwa pananikera sana kwa hili.
Unatokea mkoa gan? Usikimbie mchezoNaona mmemis kunya vichakani na ufukweni mwa Ziwa. Mwanza hakuna kitu kabisa,empty set.
ThirdWhat about Arusha ?
Wewe kwenu wap?mwanza hamna bandari?
hamna ikulu?
hamna ofisi mbali mbali za serikali kuu?
kwa hiyo na mimi nikuambie kuwa kinachoibeba mwanza over shinyanga,geita n.k ni kwa kuwa vitu vingi vya lake zone/ ofisi za kanda huwekwa hapo?, au kwa vile kuna BOT?
Wewe kwenu wap?mwanza hamna bandari?
hamna ikulu?
hamna ofisi mbali mbali za serikali kuu?
kwa hiyo na mimi nikuambie kuwa kinachoibeba mwanza over shinyanga,geita n.k ni kwa kuwa vitu vingi vya lake zone/ ofisi za kanda huwekwa hapo?, au kwa vile kuna BOT?
mkuu shokeni supu ya kongoro unapata saa kumi na mbili alfajiri.
Wewe kwenu wap?
Hahahahaaaaa et alikuwa anakaa shamaliwa