Miss u my mwanza mwanza

Miss u my mwanza mwanza

Naona mmemis kunya vichakani na ufukweni mwa Ziwa. Mwanza hakuna kitu kabisa,empty set.
 
mimi nilifikiri una strong point nilivyoanza kusoma post yako, kumbe unachukia Mwanza kwa sababu ya supu!

Hujaona mambo mengine yote umekimbilia supu, halafu kwanza ni uongo inawezekana wewe ulikuwa unakaa Shamaliwa

Maeneo kama soko kuu supu ni kuanzia saa 1 na nusu
Hahahahaaaaa et alikuwa anakaa shamaliwa
 
Mwnza ni pazuri mnoo namiss beach zile aiseee nimehamia Dom pakame mpka panaboa. Malaika beach ni noma sana,kwa kishimba aka Rock beach,jembe ni jembe na charcoal ribs na nyingine nyingiii haziishi. Ukijani na mandhari kweli si pakubezwa huko. I love Mwanza
 
Nilokua nakaa nyegezi juu ukiwa chumbani unaangalia mandhari ya ziwa upande wa luchelele yani safiiiiiiii,hewa safiiii
 
unaongea pumba za kiwango cha standard gauge!

yani hakuna jiji ambalo ni next tu dar?

Wewe ni wa dar?
Kilichofanya dar iipiku mwanza ni uwepo wa bandari na ofisi zote za serikali kuu lakini tofauti na hapo hakuna kitu.
kwa mfano ikulu,bandari na ofisi nyingine za serikali kuu zingekuwa mkoa tifauti na dar unafikiri wale wazaramo bila muingiliano na waarabu na makabila mengine wangeweza hata kujenga Ubungo plaza?
Mkuu usibishane na taahira!!
 
Mwnza ni pazuri mnoo namiss beach zile aiseee nimehamia Dom pakame mpka panaboa. Malaika beach ni noma sana,kwa kishimba aka Rock beach,jembe ni jembe na charcoal ribs na nyingine nyingiii haziishi. Ukijani na mandhari kweli si pakubezwa huko. I love Mwanza
Mkuu uko dodoma sehemu gan maana hata mimi now niko dodoma
 

Attachments

  • tapatalk_1499012049874.jpeg
    tapatalk_1499012049874.jpeg
    78.5 KB · Views: 77
Back
Top Bottom