Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,675
- 40,923
Mashalaah!Miss Tanzania
View attachment 426557
Mashalaah!Miss Tanzania
View attachment 426557
Lowasa juuuuuundiyoo ya kwake. Tanzania ya MAGUFULI si ya mchezomchezo, kama unabisha waulize ndugu zako akina sinare
Masai hoyee! Kinondoni hoyee!
Huyu mtoto ni mzuri aisee!Lowasa juuuuuu
Lkn hata kama ...nimeona rachel temu amemtetea amesema gan degree ana certificate
ndo hapo sasa wawe wakweli basii!Lkn hata kama ...
Nayale matokeo kama niyake inamaana atakua kamaliza form 4 akiwa na miaka mingapi?
Nshasamehe mbona!ahsante kwa kuweka takwimu sawa, ila la msingi samehe tu
Ila wasukuma wenzangu ushamba utatuisha lini?
Twende mbele turudi nyuma, huyu mwanamke ni mbaya aisee, alafu sijui wanatumia vigezo gani kuchagua mshindi.
Naskia ana degree lakini umri wake ni 18 (elimu ya bara )
[HASHTAG]#wacha[/HASHTAG] vituko viendelee
Warembo wapo katika dance ya ufunguzi , kuna wengine wanapatia steps wengine wanaenda tofauti ila wamependeza sana.
Warembo wameshamaliza kupita na mavazi ya ubunifu, vazi la kitenge limetawala, aliyetikelezea na kuchukiza hiyo nawaachia wenyewe.
12:15
Vazi la ufukweni now , kivazi kimewapendeza sana , japo wakienda miss world lazima tu wavae kyupi nashangaa hapa wanavaa vikaptula na shati juu
=======
Diana Edward Lukumai kutoka wilaya ya Kinondoni amefanikiwa kushinda taji la Miss Tanzania kwa mwaka 2016 mjini Mwanza baada ya shindano hilo kutofanyika kwa miaka miwili mfululizo.
Miaka 18 ana degree, miaka 9 alianza form 1, miaka 2 darasa LA kwanza,..amazingTangu Ile habari ya Sitti sipotezi tena muda wangu kwa hiyo inayoitwa Miss Tanzania, maana mapungufu mengine hata hao viongozi wangeweza kuyamaliza wenyewe mapema
Huu wote ni upuuzi wa waandaaji, yaani hovyo kabisaMiaka 18 ana degree, miaka 9 alianza form 1, miaka 2 darasa LA kwanza,..amazing
Nadhani mkuu TV yako itakuwa imexhukua mubashara vibaya !tehe!twehe!Dah leo naona vioja hapa Startv... mtu anaojiwa anasema ameji design mwenyewe haha..
Mara mc anasema shindano live toka lock city Mwanza wadau au Tv yngu duh..
Nyoka weeHuyu mtoto ni mzuri aisee!
Kidumu chama cha mapinduzi!
Miaka 18 ana degree, miaka 9 alianza form 1, miaka 2 darasa LA kwanza,..amazing