Miss Tanzania 2016 live updates

kidaganda

JF-Expert Member
Aug 26, 2013
2,991
2,564
-Ipo hewani muda huu kupitia startv
-Mashindano yanafanyika Mwanza kwa mara kwanza.
-Watangazaji wamepoa sana wanaonekena ni wageni shughuli hii
-Star tv wanakataka sana matangazo sijui shida ni nini.
 
3d37d787b384789851e601c28b14a3e3.jpg
 
-Bado wanahoji watu kwenye red carpet...sijui saa ngapi wataanza kutuonyesha hao mamiss
 
-Hivi huko Mwanza hakuna maduka ya nguo mbn watu wamevaa ovyo.
 
Mashindano yamepoa yamekaa ki futuhi futuhi tu....kifupi najuta kupoteza usingizi wangu
 
Back
Top Bottom