Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,554
- 2,160
Hapo kama Gymkhana Club?
Alivyojipresent ni kama Ki petrol station fulani ni kicheche cha nguvu
Watu wanaoa Wake sio vicheche
...Naona Mfunyukuzi ameamua kumfanyia Promo mdada sasa sijui inakuwaje au ameahidiwa mkato dili likitiki?? Lakini demu anaonekana kama mchina mchina vileeee....!!:A S 13::A S 13:Anayejitangaza kwa kawaida ni matatizo matupu. Mimi nafahamu kuwa "Chema chajiuza kibaya chajitembeza".
mjumbe huwa hauwawi...Naona Mfunyukuzi ameamua kumfanyia Promo mdada sasa sijui inakuwaje au ameahidiwa mkato dili likitiki?? Lakini demu anaonekana kama mchina mchina vileeee....!!:A S 13::A S 13:
mjumbe huwa hauwawi
mjumbe huwa hauwawi
![]()
MTOTO ni sexy na yuko hot kinyama na anatishia amani kwa uzuri baanaa asikwambia mtu. Hiki kitu kinakwenda kwa jina la Zenah Juma, ni bonge la toto lililowahi kushiriki kuwania taji la Miss Ruvuma 2010, hajaenda age hata kidogo coz ana miaka 20 tu.
Hiki kifaa kinatisha coz ni bonge la msanii wa muziki wa Dansi, kazi zake za muziki mara nyingi anafanyia huko Oman so hela ndogo ndogo hazimpigi chenga. In short, huyu mtoto anatafuta mchumba wa kumuoa mwenye umri kuanzia miaka 30 na kuendelea, hahitaji Serengeti boy wala Mariooo, kwa maelezo hayo, nafasi hiyo anaitoa kwa mwanaume mwenye uwezo wa kumrekebisha katika suala zima la sita kwa sita, awe na akili timamu na anayejua thamani ya mwanamke bila kusahahu kazi ya maana mkali na anapenda watu, so kuhusu elimu, hachagui ila ukubali kupima kabla ya mpango mzima kufanyika pale kati.
Ebwana eeh! Hadi hapo utakuwa umeelewa vya kutosha so cheki naye kupitia 0654 762680.
Naona watu wananitumia PM mara ooh mambo gani hayo jamani mie nawakilisha tuu SOURCE HII HAPA\
View attachment 14690View attachment 14691