Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

huyu dada ana miaka 25 au kuendelea. anaonekana kabisa mifupa yote imeshajiorganize katika mwili wake.

wangefanyiwa born marrow tu hao wasinge danganya
miaka yao...sema wanapenda sana kuonekana watoto, leo mtu akipata nafasi amuulize miaka ya wema sepetu atakuambia ana miaka 23 kwikwikwikwi
 
Tatizo ni Ubinafsi kila kitu mpate nyie tu mpaka mnafoji vigezo , Famiilia zenu Tayari Mboga saba , Mmesoma na kutalii Nje ya Nchi , Hivi Vingine Mngewaachia wahangaikaji wa huku tu , Nyie Mkaendelea na uwekezaji wa Mahousegirl Dubai lol ! Miss France atakuwa na 26 to 29 haiwezekani kundi la chagabibi awe na Rafiki wa miaka 18-20 wakati yeye mwenyewe ni 30+
 
Huyu ndio miss aliyevunja rekodi ya kurudisha umri nyuma


Miss bonge reds tanzania 2014!!!!

Hahahahahahah (in le mutuz voice)




 

Kweli kabisa uselfish umewajaa
mpaka miaka wanafoji
yaani ana umri hasi kaaa
 
kuna kurushwa madarasa ww. Labda ni jiniaz
 

hahaha wakati mwingine haya yafutwe tu tufanye shuguli nyingine.
 
wangefanyiwa born marrow tu hao wasinge danganya
miaka yao...sema wanapenda sana kuonekana watoto, leo mtu akipata nafasi amuulize miaka ya wema sepetu atakuambia ana miaka 23 kwikwikwikwi

ni kutojitambua, wanadanganya sana umri ila sura zinawaumbua vibaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…