ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,056
- 2,850
Du huyu dada kiboko.Lundenga rudisha chenji za watu.
Yaan kwenye umiss waliojitahidi ukubwa walisema wana miaka 23 wenginr 18,19,20,22,,basiii
Yaani hawa watu wanapenda kujirimbikia mambo!Utashangaa sasa ivi ananyakua na kaboifriend ka raiki yake wakati unakuta anayewake mwenye mapesa!Kweli kabisa uselfish umewajaa
mpaka miaka wanafoji
yaani ana umri hasi kaaa
she is too old to be 18 yrs--Angalia viwiko vya mkono na magoti ni meusi sana inaonyesha yuko >25
she is too shallow to have MA--maswali aliambiwa ajibu kwa English au swahili yeye akagonga mpaka kifaransa
aliulizwa sifa za kiongozi bora..yeye akasema barabara,etc sasa hiyo MA ya wapi?
Hyo masterz nna wasiwasi nayo, kabojja shuleilimshinda ndo akapelekwa huko marekani, sa cjui huko kama aliiwezashe is too old to be 18 yrs--Angalia viwiko vya mkono na magoti ni meusi sana inaonyesha yuko >25
she is too shallow to have MA--maswali aliambiwa ajibu kwa English au swahili yeye akagonga mpaka kifaransa
aliulizwa sifa za kiongozi bora..yeye akasema barabara,etc sasa hiyo MA ya wapi?
hahahaaaaaaaaaa,komenti + ID nikajikuta nawaza au mnamahusiano na yule waziri wa zambia Mus.en.ge m.u.k.um.aAu labda alimaanisha amenza kusex akiwa na miaka 18
Hyo masterz nna wasiwasi nayo, kabojja shuleilimshinda ndo akapelekwa huko marekani, sa cjui huko kama aliiweza