spade4spade
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,207
- 2,158
Usiku jamani, mi nna ucngizi. Zimeni taa tulale, muache kelele.
Usiku jamani, mi nna ucngizi. Zimeni taa tulale, muache kelele.
hahahhahahaha jf is never boring
kirahisi kabisa......ila lara 1 anaijua
hahahahaha cc MtambuziKuna uzi uliwekwa hapa na mdau mmoja jinsi ya kupata mrembo wa JF, njia moja wapo ni hii unataja jina la mrembo kwa kuanzisha uzi. Naona vijana wanatendea kazi, hatar sana hahahahaaa....
hahahahaha cc Mtambuzi
Hahaahah! Yaani we binti, mi nimelala uko macho, nimeamka uko macho una jf, nimefanya job we wamo! Yaani hadi sasa ... present! Duh, am tired how far you could go!
Hahahaaaaa! Umembamba