Miss Neddy- Nimekubamba sijakubamba....?

Miss Neddy- Nimekubamba sijakubamba....?

Mungu wangu......huyu kiumbe sijui nshamuona wapi, daaah............huu mji huu!
 
Nimebanwa ....
Nakohoaa
Miss Neddy ....Nakupenda penda fulani hivi 😎
 
attachment.php


miss neddy, kwa kuperuzi mtandao wa Jamii Forum umetisha kwa kweli.

Naomba uniwie radhi, nimeona niweke picha hii niliyokupiga juzi ofisini kwako ili kuwaonyesha wadau jinsi unavyoperuzi mtandao wa JF na kujibu hoja mbalimbali za mtandaoni.

Unastahili sifa bibiye.

CC: miss chagga, Heaven on Earth, Karucee, Eiyer, farkhina, Husninyo, Ruttashobolwa, Asprin, Arushaone, PakaJimmy, Mr Rocky, BADILI TABIA, snowhite, Fixed Point, Kongosho, lara 1



Utakuta huyu mfanyakazi wa serikali (mtoto wa dada/shemeji) badala ya kufanya kazi, yuko anaperuzi fesibuku muda huu nyeti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom