Nadhalilisha kwani hapo ni chumbani au hadharani?
sasa hapa ujuaje kama ni misss? mbona hafananiiii?
Wacheni Dharau hivo.. Inshort huyu aliyevaa hivi
AMEPENDEZA ZAIDI
KULIKO HUYU ALIYEJIANIKA UCHI
Hata kama atakukubali utachukua muda mrefu sana kumfunua huyo wa juu kuliko wa chini,na kilichokukasilisha hapo ww ni nn,vaa mavazi ya huyo mic wa juu na vaa mavazi ya huyo wa chini pita kariakoo utajua nani yupo uchi na nani kavaa nguo,or chukua picha ya huyo wa juu na huyo wa chini muoneshe mwanao muulize yupi yupo uchi na yupi kavaa utapata jibuWEWE unaujua UCHI? NAKUULIZA UNAUJUA uchiiii? acha kuropoka.
huyu amevaa bikini ni vazi km vazi lolote kwa mahala alipo.
Km unataka kuona uchi mfunue huyo wako uatuona ndio utuambie ukoje.
Wacheni Dharau hivo.. Inshort huyu aliyevaa hivi
AMEPENDEZA ZAIDI
KULIKO HUYU ALIYEJIANIKA UCHI
Wacheni Dharau hivo.. Inshort huyu aliyevaa hivi
AMEPENDEZA ZAIDI
KULIKO HUYU ALIYEJIANIKA UCHI
Hata kama atakukubali utachukua muda mrefu sana kumfunua huyo wa juu kuliko wa chini,na kilichokukasilisha hapo ww ni nn,vaa mavazi ya huyo mic wa juu na vaa mavazi ya huyo wa chini pita kariakoo utajua nani yupo uchi na nani kavaa nguo,or chukua picha ya huyo wa juu na huyo wa chini muoneshe mwanao muulize yupi yupo uchi na yupi kavaa utapata jibu