Imeshaisha hii sema kuna mmoja hapo anajitutumua tu ila ki uhalisia vita isha mchoshanachukia sana hii vita kuona inaendelea natamani wakae meza moja wayamalize kwa amani
Ni yule Mungu Ng'ombe aliechomwa kama ndio yule.Mungu wa majeshi ya Israel ni mkubwa
Hivyo ndio vituo ?Vituo vya kijeshi vya Iran vikiangamizwa na ndege-vita za Israel!!
Wewe ulitaka vituo gani? KamaHivyo ndio vituo ?