donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Hahaha dadangu kumbe (wowowo) hautumii?Jamaniiii....... nilipata ka appetite kidoogooo nikaja mbiooooo dooh!! ndo umeshakapeperusha tayari kamepotea nimerudi kule kule. .....🙁
SwadaktaHao upate na nguna la dona
Takbiir...!Mishikaki adimu ni ya kitimoto tuuu!
Aaah hao frog..... Hapana banaaaa ntatoa kiumbe cha watu ujue na kimeingia kwa shida kwelikweli.....Hahaha dadangu kumbe (wowowo) hautumii?
Hiyo mbona sio adimu mkuu inapatikana sana,hata hapa marangu mtoni ipo ya kushendeMishikaki adimu ni ya kitimoto tuuu!
Takbiir...!
Hata neno linasema kimtokacho mtu ndio haramuAaah hao frog..... Hapana banaaaa ntatoa kiumbe cha watu ujue na kimeingia kwa shida kwelikweli.....
Twende kule kwetu umasaini nyama choma ilipoasisiwa, utachomewa nyama ya mbuzi vizuri hata mguu mzima utaumaliza peke yako.Usiniambieeee.... basi itabidi nighairi.
Ever Smiling Kasie.
Hata neno linasema kimtokacho mtu ndio haramu
Twende kule kwetu umasaini nyama choma ilipoasisiwa, utachomewa nyama ya mbuzi vizuri hata mguu mzima utaumaliza peke yako.
Hahaha...ile utachomewa fisuri sana lakini itakujaza ny.ge sana kasie.Hapo umesema baba yeyoooo ila sitamalisa yote hiyo, mi napendaga ile maini ya nje.... ile inaning'inia kwa nje hehehhee
Salimie ikoo.
Ever Smiling Kasie.
HahahahaHapo umesema baba yeyoooo ila sitamalisa yote hiyo, mi napendaga ile maini ya nje.... ile inaning'inia kwa nje hehehhee
Salimie ikoo.
Ever Smiling Kasie.
Hahaha...ile utachomewa fisuri sana lakini itakujaza ny.ge sana kasie.
Hahahaha
Hii mishkaki ya kitimoto kuna kipindi ilikuwa inapatikana pale coco beach!Mishikaki adimu ni ya kitimoto tuuu!
iikooo...hapo sawa, sasa nakusubiri huku Nainokanoka, sisi bado hatujamaliza mwaka na nyama ipo miingi tu.Ndo kitu nataka..... nyege ni nsuri sana....
Muda wote unakuwa tayari hata ukisema suuu kule kunajibu aaaaaaammmmm kama unameza hewa Hehehehehehehee takwiinyaaa.
Salimie sana baba yeyoooo.