Mishahara yapanda kwa zaidi ya 10%

Naomba nisaidiwe ongezeko la 11% kuanzia mshahara wa Tsh ngapi hadi Tsh ngapi? Na ongezeko la 8.6% kuanzia mshahara wa Tsh ngapi mpaka Tsh ngapi?
 
Tunataka kuwasikia tucta waseme hayo ndio makubaliano ya siri waliyokubaliana na hao wezi maana bajeti ya mishahara ina nyongeza ya 40%,ondoa watumishi wapya,vyeo karibu 20% wamejipangia posho wao.Serikali ya kifisadi ni hatari sana 2015 watoswe, TUCTA andaeni mgomo wa kisheria wamezoea hawa ,kwanza kodi ya mshahara ni kubwa kulizo wanazolipa wafanyabiashara
 
sasa Tucta hivi kweli ndo makubaliano yenu hayo na serikali hapa sasa mnataka tuamie Zanzibar iweje nchi moja ongezeko la mshaara litofautiane zaidi ya nusu.wana JF nisaidieni ivi Tanganyika na Zanzibar mfumuko wa bei unatofautiana inakuje tofauti zinakuwa hivi wazee wa gamba mnatuuaa kweli
 
Tucta walisema wanandugu wakigombana shika jembe kalime, wakipatana chukua kapu kavune!! Tutarajie kuongezeka kwa kero ya rushwa ndogondogo maofisini!
 
Kwa kweli hali ni ngumu, naona wangeanzisha soft loans kama kwenye mabenki na kuhire walimu wa kufundisha ujasiriamali naona ingesaidia kuondokana na hali hii coz kwa sasa ukichua 150000 gawa kwa siku 30 kwa familia ya watoto 4 baba na mama jumla watu 6 unapata kama 860 kwa cku. Je tutafika?
 
Back
Top Bottom