The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,136
- 8,005
Maana ya basic salary ni kiasi cha mshahara baada ya kukata pesa ya pension, na gross salary ninkabla ya kutoa hela ya pension. So heslb wanakata 15% of basic salaryNaomba nieleweshe tofauti yake
UbarikiweMaana ya basic salary ni kiasi cha mshahara baada ya kukata pesa ya pension, na gross salary ninkabla ya kutoa hela ya pension. So heslb wanakata 15% of basic salary
Asante mkuuTutorial Assistant Ni mkufunzi msaidizi;
Mkufunzi msaidiziNisaidie:
• Lecturer ni Mhadhiri;
• Assistant Lecturer ni Mhadhiri Msaidizi, na je;
• Tutorial Assistant ni nani (kwa Kiswahili)?
Hata Mimi imenishangaza sana mtu kapoteza miaka 30 kusoma halaf analipwa hivyo wakati Mimi ni ENGINEER wa kawaida tu nalipwa zaidi ya hiyoKweli elimu Tanzania inadharauliwa sana, acha tu kina naniliu waendelee kukataa hadi maandishi yao, ninacho kisoma hapa kwa wadau kuhusu hizo pesa wanazo lipwa, HAPANA aise. Kusoma sana hadi kuipata hiyo Poor Hair Distribution (PHD) hakuna maana yoyote. Yaani mwalimu kamili wa chuo analipwa 3.5Ms? Khaa!
Kwa Mshahara huu sasa hivi ungekuwa level za PhD au Le ProffeseriItakuwa imepanda sana. Miaka kama 20 iliyopita, nilikuwa nalipwa 130,000 kwa mwezi UDSM. Ilibidi nikimbie tu. Kulikuwa hakuna namna nyingine. Wenzangu waliovumilia naona awamu hii Jiwe kawakumbuka na teuzi zake.
Ningekuwa professor. Niliowaacha huko ni maprof tayari. PhD unaweza pata popote siyo lazima uwe chuoni.Kwa Mshahara huu sasa hivi ungekuwa level za PhD au Le Proffeseri
Hata uprofeseri si hivyo mkuu?Ningekuwa professor. Niliowaacha huko ni maprof tayari. PhD unaweza pata popote siyo lazima uwe chuoni.
Hata uProfeseri si hivyo mkuu?
Kuna Profesa namjua hakuwai kufundisha chuo ila alikua akipublish, so usikariri bossUlikwishapata kuwa professor kwenye ofisi yako ya kuuza mbao?
Wanapewa boom hawa sio mshaharaHiv hawa tutorial assistant wakiajiriwa huwa wanapewa kiasi gani kama PESA YA KUJIKIMU? na wanapewa kwa siku 7 au 14?
Wanapewa boom hawa sio mshahara
Jaman anayejua zaidi juu ya hili atujuzeHabari wakuu ningependa kujua mishahara ya tutorial assistants kwa vyuo vya umma kama udsm , ardhi ,udom n.k na other benefits (packages) outside basic salary natanguliza shukrani
Ukiwa na masters unaitwa assistant lecturer.
Ukiwa na phd unakuwa lecturer..
Unaitwa Tutorial Assistant (TA).Ukiwa na degree je?
Mkuu unamaanisha kwamba kufundisha tuition wanafunzi wa chuo kikuu? Ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni!Zipo pesa laki 2 Tatu za wavivu ,wa kuchomoa supp, ukijiongeza unaweza ikawa una centre yako mida ya jioni au weekend unsfundishaa mwanafunzi wa Bodi hela yotee hiyoo
Definetly, because kuna wanao ajiliwa fresh from school due to their outstanding perfomance wakiwa degree graduates...but wanapewa madarasa ya undergraduate.Let me ask you pls, you mean TA, in tz can teach with a bachelors degree only, oky if so if you have a masters you became a full lecturer or, and a lecturer with a masters how much does he /she earns after all deductions pls, ukinipa jibu nitashukuru
Let me ask you pls, you mean TA, in tz can teach with a bachelors degree only, oky if so if you have a masters you became a full lecturer or, and a lecturer with a masters how much does he /she earns after all deductions pls, ukinipa jibu nitashukuru mkuu
not true..... sio kirahisi hivo?First degree__Tutorial assistant
Masters__Assistant lecturer
Phd_Lecturer