Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

Hela ipo ....shida ni matumizi, tumuulize lumola ambae pesa yake yote inaishia kwenye pombe.....miaka 7 anafanya kazi GGM hana hata kibanda
Kuna mtu amewahi nambia usitafute kazi mgodini kwamba kazi za mgodini "zinadumaza" hii kauli sikuielewa kabisa Nini maana yake. Huenda ndo hiivya lumola

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah hao so wale ma expert na ma senior je sisi tunaoanza tunaangukia kundi gan? As Clerk 1- Warehouse?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kazi ikizidi milioni niite mbwa niko pale nimekaa na zaidi usidanganyike na maneno ya watu mtaani eti kuna hela, Hela ipo kwa watu wa production tu sa wewe clerks tena trainees unategemea upate mshahara mnono mie kwauzoefu wangu ndani ya industry ya mining mshahara wako ni laki saba na sitini au mianane sitini lakini haizidi milioni na haupungui sana
 
Ndio nimeitwa Ila io industry ya akina GGM siijui flesh kuhusu mishahara yao, zaidi ya kuskia vijiweni tu kila mtu Ana lake, position yenyewe niloitiwa Ni Clerk 1- Warehouse ndo sijui malipo yake hua yakoje

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaitwa interview unaanza kupagawa na scale za mishahara. Kumbuka kunakuitwa interview na Kuna kupata kazi.

Jikite kwanza kwenye maombi, Sala na matayarisho ya interview.
 
Back
Top Bottom