Hongera nasikia mmeongeza 1m safi sana!
hiyo ni sawa na kumtekenya kinyago kisha unamsubiria aanze kucheza
Mishahara mipya mwezi novemba are u siriaz bajeti ya wapi na lini ilipitisha nyongeza hy acha wenge asbh asbh nenda kazimue kwa mama mwenda alaa