Tanzania namba 3 Afrika kwa kuwa na wafanyakazi wenye "Stress" sana

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
45,536
52,605
Haijaelezwa sababu au vigezo vilivyotumika ila inajulikana kwamba zaidi ya 75% ya Watumishi wa Serikali wanapokea Mishahara chini ya Laki 5.Sekta binafsi Hali ni mbaya zaidi.

Kwa mazingira haya wataachwa kuwa na Stress kweli? Ni wazi Stress zinasababishwa na Hali ngumu ya kimaisha hivyo wengi wao kuwa na Magonjwa ya akili na kupelekea kufanya maamuzi mabaya ikiwemo kujinyonga.

Screenshot_20240517-215605.jpg

Ushauri:
Serikali Ongezeni Mishahara Kwa Watumishi wenu walau wawe na unafuu wa Maisha.
 
Haijaelezwa sababu au vigezo vilivyotumika ila inajulikana kwamba zaidi ya 75% ya Watumishi wa Serikali wanapokea Mishahara chini ya Laki 5.Sekta binafsi Hali ni mbaya zaidi.

Kwa mazingira haya wataachwa kuwa na Stress kweli? Ni wazi Stress zinasababishwa na Hali ngumu ya kimaisha hivyo wengi wao kuwa na Magonjwa ya akili na kupelekea kufanya maamuzi mabaya ikiwemo kujinyonga.
View attachment 2997918

Ushauri:
Serikali Ongezeni Mishahara Kwa Watumishi wenu walau wawe na unafuu wa Maisha.
Mtumishi mwenye mshahara wa 450k kwa mwezi unafanya je birthday ya mtoto na bajeti ya 150k stress zingine za watumishi wa Tanzania ni zakujitakia tu...........tena we ni mualimu unachangia kila harusi ubatizo nk lzma upate pressure ya kupanda.
 
Haijaelezwa sababu au vigezo vilivyotumika ila inajulikana kwamba zaidi ya 75% ya Watumishi wa Serikali wanapokea Mishahara chini ya Laki 5.Sekta binafsi Hali ni mbaya zaidi.

Kwa mazingira haya wataachwa kuwa na Stress kweli? Ni wazi Stress zinasababishwa na Hali ngumu ya kimaisha hivyo wengi wao kuwa na Magonjwa ya akili na kupelekea kufanya maamuzi mabaya ikiwemo kujinyonga.
View attachment 2997918

Ushauri:
Serikali Ongezeni Mishahara Kwa Watumishi wenu walau wawe na unafuu wa Maisha.
Sisi tuko namba moja kwa machawa wenye furaha hadi wanabubujikwa na machozi
 
Haijaelezwa sababu au vigezo vilivyotumika ila inajulikana kwamba zaidi ya 75% ya Watumishi wa Serikali wanapokea Mishahara chini ya Laki 5.Sekta binafsi Hali ni mbaya zaidi.

Kwa mazingira haya wataachwa kuwa na Stress kweli? Ni wazi Stress zinasababishwa na Hali ngumu ya kimaisha hivyo wengi wao kuwa na Magonjwa ya akili na kupelekea kufanya maamuzi mabaya ikiwemo kujinyonga.


Ushauri:
Serikali Ongezeni Mishahara Kwa Watumishi wenu walau wawe na unafuu wa Maisha.
Kama wakenya hawapo huu utafiti ni batili
 
Haijaelezwa sababu au vigezo vilivyotumika ila inajulikana kwamba zaidi ya 75% ya Watumishi wa Serikali wanapokea Mishahara chini ya Laki 5.Sekta binafsi Hali ni mbaya zaidi.

Kwa mazingira haya wataachwa kuwa na Stress kweli? Ni wazi Stress zinasababishwa na Hali ngumu ya kimaisha hivyo wengi wao kuwa na Magonjwa ya akili na kupelekea kufanya maamuzi mabaya ikiwemo kujinyonga.


Ushauri:
Serikali Ongezeni Mishahara Kwa Watumishi wenu walau wawe na unafuu wa Maisha.
Tulitakiwa tuwe namba 10 kwa kweli yaan mpaka Nigeria wametuzid😊😊
 
Back
Top Bottom