Mishahara: Halmashauri ipi tayari?

Mishahara: Halmashauri ipi tayari?

Idara ya mishahara ndo wase-ngerema! Hazina inashughulikia mbishe mapema wao wanaatamia payroll
 
Waalimu wa tz baadhi hawajielew ndyo maana wanapewa posho na serikali yao na bado wanashabikia wale watawala wanao waambia mwenye anaona mshahara hautoshi aache kazi.hivi wew mwalimu na kaelimu kako kakizushi unamsaada gan kama unazidiwa na boda boda darasa la saba ila anajielewa?serikali endeleen kuwapa posho hawa vilaza.
 
Waalimu wa tz baadhi hawajielew ndyo maana wanapewa posho na serikali yao na bado wanashabikia wale watawala wanao waambia mwenye anaona mshahara hautoshi aache kazi.hivi wew mwalimu na kaelimu kako kakizushi unamsaada gan kama unazidiwa na boda boda darasa la saba ila anajielewa?serikali endeleen kuwapa posho hawa vilaza.

Wewe ndo hujielewi acha kuropoka dogo...chunguza kwanza ndo uongee sio unaropoka maneno uliojikaririsha
 
Watatafuta vyanzo vyote ila si kwenye mishahara ya wafanyakazi wao wa Umma.
 
KURA ZOTE KWA LOWASA, KIPAUMBELE 1.ELIMU 2.ELIMU 3.ELIMU. Huwezi Kuzungumzia Elimu Bila Maslah Ya Mwalimu, Mishahara Ya Waalimu Itakuwa Sawa Na Ya Fani Zingine, Allowence Mtapewa, HAYO YOTE YATAFANYIKA CHINI YA SERIKALI YA UKAWA IKIONGOZWA NA RAIS LOWASA. WAALIMU WOTE CHAGUA LOWASA MATATIZO YENU YAWE HISTORIA TU.
 
Vimishahara vidogo na Dharau za ccm kwa walimu na maaskari,
sina hamu na hao watu wanaoipa kura ccm

Kimsingi natoka uchaguzi wa mwaka huu kupata 10% ya kura zote.Ila kwa kuwa bado kuna Ujinga uliojithiri miongoni mwetu,wanaweza kupata hata 51%.Mfano juzi ktk mkutano wa Magufuli bango moja linasomeka...."SISI WAALIMU WA CHATO TUTAKUPIGIA KURA WOTE"
Leo hii waulize kama hata wamekunywa chai coz hawana hata 100 hapo walipo.Hiyo akili ama Makamasi?
 
Nilishasema hapa walimu wa tanzania ni jangaaa.angalia bango hilo,sjui huyu atakuwa shemeji yao au kaka yao?
 
Back
Top Bottom