Mishahara: Halmashauri ipi tayari?

Mishahara: Halmashauri ipi tayari?

Njombe bado vumba hatujapewa, naskia pesa wanalipwa akina diamond na wasanii wengi ili wawe wanajaza watu kwenye mikutano ya ccm
 
Pesa zote wamepewa wapika tafiti na wasanii , watumishi kwa sasa vuteni subira.
 
Wana jf, kama tulivyozoeshwa na serikali kila tarehe 25 kupewa tulichofanyia kazi, jana tulijazana kwenye mabenki tukaambulia zero, wenye maduka wameanza kutumia mesaji za kukumbusha madeni, vikundi ndo wameanza kuandika barua za adhabu. Ccm tunajua umebakiza siku 29 kukata kauli, tupe chetu usubiri kichinjio.
 
Ila tumishahara twa walimu na askari mweeee!Sijui hawa watu walikosaga nn kwa mungu?Ajabu ni mapiga kura mazuri kwa ccm.

Wewe mwenzetu una gani? Hebu tuwekee mshahara wa hiyo kazi yako tulinganishe na ule wa Mwalimu! Usije ukawa umekariri!
 
Fedha anatumia mkuu wa wasanii dr. Pushapu na wachumia tumbo vile vizee vya mwaka 47 vilivyoamua kuzunguka tz kutukana tu
 
Back
Top Bottom