Mishahara company za ulinzi


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shukran Mkuu..

Ila kwny tqngazo nmeona wanataka attachment letter pia CV..

Kampany inaitwa Saramu Security. Unaweza kunipa A B C khs hili kampany..
Kma una cheti cha kidato 4, Cheti cha kuzaliwa na Wadhamini wa maana katafute kazi kampuni zinazoeleweka.

Kwanza uko wapi ?
 
Kma una cheti cha kidato 4, Cheti cha kuzaliwa na Wadhamini wa maana katafute kazi kampuni zinazoeleweka.

Kwanza uko wapi ?

Nko daresalam Mkuu..

Ninavyeti vyote..

Cha form 4
Ordinary Diploma
Advance Diploma
Birth certificate
National ID
Referees
Etc..
 
Na mpaka Sasa hujatoka tu
 
Poapoa Mkuu..
Kama unaweza kesho kabla ya saa mbili uje garda...ipo mikocheni ukiwa unaenda kawe kuna kituo kinaitwa kwa mwinyi...shuka hapo ulizi ofisi za garda zilipo lakini hakikisha wewe ni mrefu na una vyeti halali...pamoja na wadhamini halali ambao watakuwa teyari kuja kukudhamini phisicaly
 
Kamanda.
 
Garda world ni best security company
Ndio habar ya mjini kwa sasa

Mshahara 250k-300k kama umeingia kazini siku zote

Hawababaishi mshahara kabla ya tarehe 30 mshapewa chenu
 
Sijajua kama saizi wanachukua, ila garda anaajiri saizi kwa fujo, kama unaweza wahi haraka, unamaliza training wiki mbili unaingia kazini hakuna kubabaisha
 
Ngoja namimi nikajaribu bahati yangu huko huenda mambo yakawa mazuri.
 
Mshahara halisi kwenye makampuni ya ulinzi umegawanyika sehem kuu mbili,

1. Kampuni za kimataifa mfano Kama SGA, KK, Insight mshahara unaanzia tsh laki moja na Nusu (150,000), inayozid zaid ya hapo mara nyingi inakua ni overtime kwa sababu walinz wamekua wanafanya kazi masaa kumi na mbili (12) kwa siku. Ni kampuni chache wanazotoa allowance Kama chakula au nauli.

Ukibahatika kuingia ukiwa na ujuzi mwingine Kama driving na ukata nafasi ya kuwa dereva huenda ukaongezewa kiasi kigogo.

2 Kampuni za zisizo za kimataifa mshahara wake unaanzia tsh. Laki moja (100,000).
Hii mishahara ni kwa mujibu wa viwango vya mishahara vya mwaka 2013 vinavyotumika had sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…