Mtu asiejitambua utamjua tu,akiwa na ki titlle kimoja kila sehem atakiingiza ili mpate kujua,kwani ungechangia tu bila kusema haupo tz ingekuwaje?au ulikuwa unajitambulisha kama upo nje?acha ushamba huo,kama wewe huvutiwi na comedy hizo sio uponde mpaka wanaovutiwa nazo,kukaa nje nje ya bongo sio sababu'ila sema ulimbukeni tu unakusumbua,