akohi JF-Expert Member Jul 13, 2012 788 524 Aug 11, 2012 #1 -alo juu mgoje chini. -msafiri kafiri -ukubwa dawa -mgaagaa na upwa hali wali mkavu -...n.k Nanyi ongezenu munayokumbukam pia bakita km wanasoma wafanye marekebisho
-alo juu mgoje chini. -msafiri kafiri -ukubwa dawa -mgaagaa na upwa hali wali mkavu -...n.k Nanyi ongezenu munayokumbukam pia bakita km wanasoma wafanye marekebisho
D Dopas JF-Expert Member Aug 14, 2010 1,151 392 Aug 11, 2012 #2 mtembea bure si mkaa bure... riziki ya mbwa ipo mguuni..
Asterisk JF-Expert Member Jun 1, 2012 214 50 Aug 12, 2012 #3 Mwenda tezi na omo marejeo ngamani Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
jogi JF-Expert Member Sep 25, 2010 25,558 25,322 Aug 12, 2012 #5 mliochangia wooote waongo, kumbukeni kuwa msemo hujidhihirisha ukweli wake pale unapotendea sawa sawa na unavyosema. hakuna kupitwa na wakati.
mliochangia wooote waongo, kumbukeni kuwa msemo hujidhihirisha ukweli wake pale unapotendea sawa sawa na unavyosema. hakuna kupitwa na wakati.
Bwana Mapesa JF-Expert Member Apr 28, 2011 2,551 1,777 Aug 12, 2012 #6 Nguv mpya,hali mpya na kasi mpya..
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Aug 12, 2012 #8 Maamuma said: Chema chajiuza kibaya chajitembeza. Click to expand... chajitembeza bure!
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Aug 12, 2012 #9 Bwana Mapesa said: Nguv mpya,hali mpya na kasi mpya.. Click to expand... Kweli huu ni msemo usiyokuwa na tija
Bwana Mapesa said: Nguv mpya,hali mpya na kasi mpya.. Click to expand... Kweli huu ni msemo usiyokuwa na tija
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Aug 12, 2012 #10 kingsley said: ngangari vs ngunguri Click to expand... Enzi hizo cuf wanatamba na kabla ya ndoa yao na magamba
kingsley said: ngangari vs ngunguri Click to expand... Enzi hizo cuf wanatamba na kabla ya ndoa yao na magamba
akohi JF-Expert Member Jul 13, 2012 788 524 Aug 13, 2012 Thread starter #13 Hahaha thx me370 naamin jogi atakubaliana na ww. Umenikumbusha hii: Kidumu chama cha ma..... Zidumu fikra za mwenye.... Na.... Hahaha yaana mpaka najihisi raha kwi kwi kwi...
Hahaha thx me370 naamin jogi atakubaliana na ww. Umenikumbusha hii: Kidumu chama cha ma..... Zidumu fikra za mwenye.... Na.... Hahaha yaana mpaka najihisi raha kwi kwi kwi...
JosephElly JF-Expert Member Jun 5, 2012 2,432 1,034 Aug 13, 2012 #14 mkaidi hafaidi mpaka siku ya idi na simba mwenda pole ndo mla nyama
molely molly JF-Expert Member Nov 28, 2011 317 30 Aug 14, 2012 #15 dalili za mvua eti mawingu ukimpiga bundi atakutokea 9te
Duduwasha JF-Expert Member Nov 3, 2010 5,703 3,653 Aug 14, 2012 #16 Navyokupenda afrodenzi Nitakununulia Treni Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Angel Msoffe JF-Expert Member Jun 21, 2011 6,781 1,639 Aug 14, 2012 #19 nikisonga ugali nakuona kwenye mwiko
Angel Msoffe JF-Expert Member Jun 21, 2011 6,781 1,639 Aug 14, 2012 #20 eti nikisonga ukali nakuona kwenye mwiko,samaki 1 akioza ni wote,