Kaza buti mwanangu!, "Where there is a will, there is a way" sky is the limit!.Pasco umeuuuuuuwa ngoja na mimi nikaze msuli nimalizie kadiploma kangu
jamaa ni mshikaji wangu, enzi akiwa media, tulipenda kunywa, kujirusha na kufuatilia kwa kutafuta mambo flani ya goodtime. Mwenzetu katuacha mbali hata yale mambo fulani hatafuti tena!, sasa yeye sio mtu wa kutafuta tena bali sasa yeye ndio mtu wa kutafutwa!. Mpaka anawakimbia!.Kudadadadadadadekiiiiiiiiii... Pasco umenikuna...
Mkuu King Kong, Mimi ni Pasco wa jf, ila huyu jamaa namjua yeye ni Pascal Mayalla, Joyce ndie mkewe aliishia zake Marekani Pascal akajirudia zake bongo. Mimi Pasco ni memba humu jf na Pascal Mayalla nae pia ni memba wa jf!.Pasco unamjua vizuri sana,we ndio pasco mayalla? Maana nae alikua fani kama yako!! Nani aliyezui asiende kusoma? Joyce au mengi? Da Misanya yupo juu sana kichwa cha mzumbe hicho
Alipata nafasi ya kusoma UDSM kazini kwake wakamnyima ruhusa chuo kilipofunguliwa akaomba likizo na kuripoti chuo. Huku nyuma wakanfukuza kazi!.
Pale UD jamaa kichwa mbaya, akafumua 1st class hivyo kuajiriwa na chuo direct kamabTutorial Asst huku akiwa na full sponsorship ya masters akamaliza na kuwa lecture hapo hapo akaunganisha na Ph. D anamaliza this June, Mwezi November anavishwa Ph.D yake na kubadili jina kwa kuitwa Dr. Misanya Dismass Bingi ( B.A. ...Hons. UDSM, M.A .... UDSM, Ph.D ...UDSM) Senior Lecture then Assc Prof na baada ya miaka michache atakuwa ni
Prof. Misanya Dismass Bingi!.
Mkuu King Kong, Mimi ni Pasco wa jf, ila huyu jamaa namjua yeye ni Pascal Mayalla, Joyce ndie mkewe aliishia zake Marekani Pascal akajirudia zake bongo. Mimi Pasco ni memba humu jf na Pascal Mayalla nae pia ni memba wa jf!.
Ila pia humu jf haturuhusiwi kunfananisha memba na mtu yoyote wa ukweli hata kama unamdhania yeye ni fulani, hilo ni kosa linaitwa name calling na adhabu yake huwa ni ban!.
Wanafahamiana sana! na mimi nawafahamu wote wawili.Vipi P. Mayalla na Misanya Bingi , wanafahamiana?
Kudadadadadadadekiiiiiiiiii... Pasco umenikuna...
jamaa ni mshikaji wangu, enzi akiwa media, tulipenda kunywa, kujirusha na kufuatilia kwa kutafuta mambo flani ya goodtime. Mwenzetu katuacha mbali hata yale mambo fulani hatafuti tena!, sasa yeye sio mtu wa kutafuta tena bali sasa yeye ndio mtu wa kutafutwa!. Mpaka anawakimbia!.
Yuko juu mbaya!.
Mkuu naona umekunwa mpaka umekunika!
Wanafahamiana sana! na mimi nawafahamu wote wawili.
Mkuu King Kong, Mimi ni Pasco wa jf, ila huyu jamaa namjua yeye ni Pascal Mayalla, Joyce ndie mkewe aliishia zake Marekani Pascal akajirudia zake bongo. Mimi Pasco ni memba humu jf na Pascal Mayalla nae pia ni memba wa jf!.
Ila pia humu jf haturuhusiwi kunfananisha memba na mtu yoyote wa ukweli hata kama unamdhania yeye ni fulani, hilo ni kosa linaitwa name calling na adhabu yake huwa ni ban!.