Wapendwa wana jf
leo inafanyika ibada ya kumwaga dada yetu mpendwa sr kapuli wa parokia ya makoka aliyepigwa risasi na kupoteza uhai wake tumwombee kwa mungu aweze kupumzika kwa amani
Wapendwa wana jf
leo inafanyika ibada ya kumwaga dada yetu mpendwa sr kapuli wa parokia ya makoka aliyepigwa risasi na kupoteza uhai wake tumwombee kwa mungu aweze kupumzika kwa amani
ndio nimefika nyumbani kutoka kanisani makoka kwenye ibada ya kumuaga sista Kapuli watu walikuwa wengi sana. Ibada iliongozwa na askofu Nzigilwa, Mdoe na Nyaisonga, maelfu ya watu walihudhuria pamoja na IGP Mangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.