Miradi ya Maprofesa wa Bongo

Uzi ulioandikwa na mtu maskini wa mali na fikra. Ulitaka Profesa akae tu bila kuwa na chanzo kingine cha mapato kwenye nchi maskini isiyo na miradi mingi ya utafiti? Acha na wao wajitafutie chochote kitu. Ila na nyie maprofesa acheni unoko na roho mbaya. Nakumbuka nilipataga kazi ya USAID ya ku-supply mzigo kwenye taasisi fulani hapa nchini kukawa na changamoto kwenye delivery ambazo kwa kiasi kikubwa zilikuwa za upande wa client ila lawama zikawa zinanijia mimi. Katika kitu ambacho sikutarajia ni Profesa mmoja wa huko Morogoro kutuma email kwa beberu kuniponda balaa kwamba sifai na ikibidi ninyimwe kazi. Beberu akajibu kuwa supplier hana makosa makubwa ya kusema tumnyime kazi kwahiyo Profesa tuelewe hizi ni changamoto tu za kibiashara. Beberu akanifowadia email ya Profesa alivyoniponda. Nadhani ile ilikuwa aibu kubwa zaidi kumpata yule Prof.
 
Sasa we jiulize mtu kama lipumba, kabudi, mkumbo, tibaijuka, ...... just imagine wote ni weupe kichwani wana ubunifu gani ..... eti profesa una miliki sheli

Sasa we jiulize mtu kama lipumba, kabudi, mkumbo, tibaijuka, ...... just imagine wote ni weupe kichwani wana ubunifu gani ..... eti profesa una miliki sheli
Weupe kwenye nini? Vijana bwana
 
Huna unachojua mwehu wewe! Unafahamu Prof. Mdegela wewe? Wacha nisitaje miradi yake! Mbona wengi tu wanapiga hela kwenye fani zao! Unataka prof. Wa SUA asifuge ng'ombe? Eti unasema ng'ombe wawili, hujawahi kumwona Prof mwenye ranch ya ng'ombe wa nyama na maziwa pale SUA?
 
Hakika umetoa familia za maprofesa kutoka mashimoni. Wamepata hasira hao! Ungekuwa karibu wangekuchoma moto kama kibaka.
 
Professor alie tuahidi US$ billion 200 za makinikia mpaka leo tuna shida ya $$. Ama kweli tunao ma professors.
Usiwaamini sana hawa kwenye uongozi na delivery huwa wanapigwa na wasomi wa kati
 
Professor alie tuahidi US$ billion 200 za makinikia mpaka leo tuna shida ya $$. Ama kweli tunao ma professors.
Usiwaamini sana hawa kwenye uongozi na delivery huwa wanapigwa na wasomi wa kati
Vilaza uwa mnajifariji kinoma.
Soma basi na wewe uwe Profesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…