johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,168
- 142,299
1. SGR
2. Bwawa la umeme la Nyerere
3. Daraja la Kigongo Busisi
4. Bima ya Afya kwa wote
5. Njia 8 barabara ya Dar - Moto
6. Bandari ya Tanga
Miradi hii na zile barabara za mzunguko kwa kila mkoa na Maji ya ziwa Victoria ni mtaji tosha wa CCM kubakia madarakani kwa miaka 50 hata bila kampeni
2. Bwawa la umeme la Nyerere
3. Daraja la Kigongo Busisi
4. Bima ya Afya kwa wote
5. Njia 8 barabara ya Dar - Moto
6. Bandari ya Tanga
Miradi hii na zile barabara za mzunguko kwa kila mkoa na Maji ya ziwa Victoria ni mtaji tosha wa CCM kubakia madarakani kwa miaka 50 hata bila kampeni