Je, miradi mikubwa ya miundo mbinu kuendelea kuwekezwa Dsm ndiyo dhima ya mabaliko ndani ya CCM au ni kukosa mikakati na mipango mahususi kumkwamua maskini? Tunajua wazi asilimia zaidi ya 90 ya watanzania tunaishi mikoani tunanufaika nini na uwekezaji huu , kwa tufungishwe mkanda kwa raha za viongozi na wakazi wa Dsm? Ni lini majiji na mikoa mingine nayo yatapewa kipaumbele au tunasubiri mpaka Dsm iwe kama New York ndo tufuate? Je, CCM ikifika 2020 tuwape kura kwa sabubu ya kuwekeza Dsm ?